- Thread starter
- #61
Kumbe umekumbajia uwezo wako huna hoja. we kama una elimu nadhani njia sahihi ya kumfundisha mtu siyo kuishia hapo kwenye jibu lako, unatakiwa uende mbali zaidi katika kuivunja hoja yangu umuweke slaa mahala pa zuri otherwise tutakutana kwa wananchi hukohuko jimboni tuone kama utanijibu ivo ivo mbele ya wapiga kura
Huna hoja yoyote.Nakushauri tu kitengo cha Propaganda CCM kilishafutwa.Usidhani una uwezo wa kupata ajira kule.