mpemba mbishi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2011
- 1,132
- 185
Kwani CCM hawatoshiriki huo Uchaguzi??!
Hata akigombea yeye mwenyewe hashindi.
Kwani CCM hawatoshiriki huo Uchaguzi??!
Ritz umekuwa mpole aisee. CCM washakukera tayari
Hata Uzini Slaa alisema CDM itashinda kwa kishindo!!!
Labda nako CCM walichakachua matokeo!!
Arumeru si Uzini Wameru wajanja bwana hawarubuniwi kwa ubwabwa.Hata Uzini Slaa alisema CDM itashinda kwa kishindo!!!
Labda nako CCM walichakachua matokeo!!
Leo unasema kwa unyonge sana..tunasubiri ahadi yako tena ya kutembea uchi.Sisi yetu macho lakini Slaa, asijiaminishe sana na ushindi Arumeru.
Hata Uzini Slaa alisema CDM itashinda kwa kishindo!!!
Labda nako CCM walichakachua matokeo!!
Dr ilo liko wazi,hata c.c.m wanajua kua kule wao wanaenda kua washiriki tu!arusha sio uzini!viva cdm
Tatizo ni kwamba hakuna matokeo ambayo CCM na NEC ya hawachakachui. Wakishinda, wanachakachua ili waonekane wameshinda kwa kidindo. Wakishindwa wanachakua ili washinde. Wakishindwa kuchakachua kule walikoshindwa ili kubadili matokeo basi wanachakachua ili wasionekane wameshindwa vibaya!!
Ritz hutoi ahadi ya Kutembea Uchi???
Sisi yetu macho lakini Slaa, asijiaminishe sana na ushindi Arumeru.
hee we msukule upo.................sasa una ni pm unanipenda me nikupeleke wapi komaSisi yetu macho lakini Slaa, asijiaminishe sana na ushindi Arumeru.
Duh! Hii kali.Tatizo ni kwamba hakuna matokeo ambayo CCM na NEC ya hawachakachui. Wakishinda, wanachakachua ili waonekane wameshinda kwa kidindo. Wakishindwa wanachakua ili washinde. Wakishindwa kuchakachua kule walikoshindwa ili kubadili matokeo basi wanachakachua ili wasionekane wameshindwa vibaya!!
Dr Slaa wafanye kila njia ya kujua hizo njama za rushwa na kuiba kura haitoshi kabisa kutuambia watashinda kwa kishindoSisi yetu macho lakini Slaa, asijiaminishe sana na ushindi Arumeru.