CHADEMA itashinda kwa kishindo Arumeru - Dr Slaa

hee we msukule upo.................sasa una ni pm unanipenda me nikupeleke wapi koma
Hahahaa ritz anapenda hadi avatar
avatar58635_1.gif
 
huu ni mtihani mkubwa sana kwa ccm'wanatamani wajitoe kwenye hicho kinyan'ganyiro'wameru ni wajanja kinoma
 
Dr Slaa amesema Pia alisema chama chake kimejipanga kutoa elimu kubwa ya uraia kwa wananchi wa Arumeru mashariki kupitia kampeni SOURCE:MTANZANIA

Ama kweli huyu babu ameanza kuwa mufirisi ktk siasa. Elimu hiyo mpaka asubiri kampeni ndio anaona ina umuhimu kwa watanzania? Tamaa ya jimbo ndio inayomsukuma na sio dhamira ya dhati ya kuwasaidia wananchi
 
huu ni mtihani mkubwa sana kwa ccm'wanatamani wajitoe kwenye hicho kinyan'ganyiro'wameru ni wajanja kinoma


Na hii itakuwa zawadi muhimu kutoka kwa marehemu Regia Mtema kwa wanainchi wa Arumeru, Arumeru watakuwa wamepata kifaa cha kijana wao ambacho kikiungana na akina Mnyika, Halima etc italeta changamoto stahili ndani ya jimbo lao
 
Ama kweli huyu babu ameanza kuwa mufirisi ktk siasa. Elimu hiyo mpaka asubiri kampeni ndio anaona ina umuhimu kwa watanzania? Tamaa ya jimbo ndio inayomsukuma na sio dhamira ya dhati ya kuwasaidia wananchi

Ama kweli wewe unaonekana uwezo wa akili yako kwa ulichoandika
 
Dr Slaa tuhakikishie hauta toa kisingizio chochote Arumeru baada ya kushindwa Chadema! Maana kwa Visingizio wewe Padri hujambo,utasikia oooh NEC imeibeba CCM,mara oooh Chadema haitakata tamaa na safari yake ya Ukombozi wa kweli wa Tanzania! Ushindi Arumeru Mashariki ni Lazima! CCM Oyeeeeeee!
 
Igunga tuliambiwa tutashinda,uzini wakasema tuna uhakika wa kushinda leo tena arumeru anasema anatuhakikishia atashinda.....



Mzee awe anakumbuka maneno yake ambayo mengi yamemtokea puani.wameru ni watu makini sana...
 
Dr Slaa tuhakikishie hauta toa kisingizio chochote Arumeru baada ya kushindwa Chadema! Maana kwa Visingizio wewe Padri hujambo,utasikia oooh NEC imeibeba CCM,mara oooh Chadema haitakata tamaa na safari yake ya Ukombozi wa kweli wa Tanzania! Ushindi Arumeru Mashariki ni Lazima! CCM Oyeeeeeee!

Halafu igunga aliwaongoza vijana wake kukimbia kimya kimya hata tamko sikuona
 
Dr Slaa tuhakikishie hauta toa kisingizio chochote Arumeru baada ya kushindwa Chadema! Maana kwa Visingizio wewe Padri hujambo,utasikia oooh NEC imeibeba CCM,mara oooh Chadema haitakata tamaa na safari yake ya Ukombozi wa kweli wa Tanzania! Ushindi Arumeru Mashariki ni Lazima! CCM Oyeeeeeee!

Dhambi ya udini ni mbaya sana
 
Igunga tuliambiwa tutashinda,uzini wakasema tuna uhakika wa kushinda leo tena arumeru anasema anatuhakikishia atashinda.....



Mzee awe anakumbuka maneno yake ambayo mengi yamemtokea puani.wameru ni watu makini sana...

Kilichoko rohoni mwako kinaonekana
 
Ama kweli wewe unaonekana uwezo wa akili yako kwa ulichoandika

Kama ni madhaifu kuwa wananchi hawana elimu hiyo anayotaka kuitoa atakuwa aliyaona toka uchaguzi wa mwaka juzi sasa alikuwa yuko wapi mpaka asubiri tena uchaguzi? Hilo ndilo ameona akatunishie mishipa ya shingo kwenye majukwaa?
 
Kama ni madhaifu kuwa wananchi hawana elimu hiyo anayotaka kuitoa atakuwa aliyaona toka uchaguzi wa mwaka juzi sasa alikuwa yuko wapi mpaka asubiri tena uchaguzi? Hilo ndilo ameona akatunishie mishipa ya shingo kwenye majukwaa?

Uwezo wako wa kufikiri unazidi kujidhihirisha
 
Uwezo wako wa kufikiri unazidi kujidhihirisha

Kumbe umekumbatia uwezo wako huna hoja. we kama una elimu nadhani njia sahihi ya kumfundisha mtu siyo kuishia hapo kwenye jibu lako, unatakiwa uende mbali zaidi katika kuivunja hoja yangu umuweke slaa mahala pa zuri otherwise tutakutana kwa wananchi hukohuko jimboni tuone kama utanijibu ivo ivo mbele ya wapiga kura
 
Hongera Dr. wetu, tuko nyuma yenu makamanda. Binafsi siamini CCM inaweza shinda kihalali katika jimbo lolote Tanzania bara kama CHADEMA watashiriki maana elimu ya uraia sasa imefika hadi vijijini. Lakini kuna jambo moja linawakera wananchi; nalo ni kwa nini uongozi haufungui matawi mengi ili mamilioni ya watu wanaohaha kutafuta kaddi na bendera za Chama wasipate taabu? Nashauri pia mavazi yetu yasambazwe kwenye kila tawi ili wananchi waweze kuzinunua kwa urahisi kama zinavyopatikana za majambazi.
 
Back
Top Bottom