Hata hiyo planned photo inawashangaza kweli hamnazo
Mkuu, hivi mbunge wa tarime anaitwa nani?
Mh. Nyambari Nyangwine
Kazi ipo huyu bwana anakubaliwa sana hata na watoto.
Tuache ushabiki wa kisiasa kama mtoto wako haipendi CHADEMA mkimbize Hospitali.
daaa muda mwingine najiuliza hawa magamba wanapata wa ujasiri wakuendelea kututawala?cheki sura za upendo na furaha ya kweli toka kwa watoto hawa kwenda kwa raisi wao dr slaa.Mungu tujaze ujasiri tukutane tahirir square yetu kuiondoa serikali ya kidhalimu ya chama cha magamba,2015 chini ya hawa watu chamoto tutakiona tusipowapiga counter attack kabla ya muda kufika.Mungu ibariki tanzania,nguvu ya umma ishike hatamu...tufaidi rasilimali zetu.
Ukiona Kikwete kapiga picha na watoto ujue anagawa pipi sasa kwa Dr nimeangalia kwa umakini sioni akigawa pipi......safi sana
ningekuwa ikulu ningemwita dr. tutete kidogo siri ya mafanikio.
aliyeko ikulu anajifanya mjuaji unadhani anafikiria kitu kama hicho?
naamini miaka mitano JK hamalizi ataondoka mwenyewe
Kudadadeki, pata uwezo zaidi
Ukiona Kikwete kapiga picha na watoto ujue anagawapipi sasa kwa Dr nimeangalia kwa umakini sioni akikawa pipi......safi sana
Iringa leo kumekucha ni makombati, skafu za chadema, ni mwamko wa hali ya juu maandamano yanatoka sehemu tatu ipogoro, kihesa na mkwawa, watu ni wengi sana hapa kihesa wakisubiri kuanza kwa maandamano, hamasa ni kubwa huku FFU wakiranda randa,
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, akisalimiana na wanafunzi wa Shule ya Msingi Buhongwa wilayani Makete mkoani Iringa baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara ikiwa ni sehemu ya ziara za chama hicho juzi.:A S-rose:
HII NIMEIPENDA SANA, INAELEKEA MPAKA WATOTO WANAWAONEA HURUMA WAZAZI WAO KWA MAISHA MAGUMU NA WAO WAMECHOKA KUSOMA SIASA ZA UONGO.:smow:
1. Je hawa watoto wanaweka kumbukumbu gani kwa Dr Slaa?
2. Je ni haki gani wanaona ya kuwa hawatendewi mpaka wamng'ang'anie hivi?
3. Watoto wanaposikia historia ya Tanzania na hali iliyopo sasa wanapata kiwewe gani?
4. CCM inatarajia matokeo gani kwa hawa watoto wapendwa wanaohitaji malezi mazuri ili waweze kuwa na nguvu ya kuendeleza mazuri watakayorithi kutoka kwa viongozi waliopo, badala ya wizi, rushwa, uongo, tamaa nk.
Ukiona Kikwete kapiga picha na watoto ujue anagawapipi sasa kwa Dr nimeangalia kwa umakini sioni akikawa pipi......safi sana