CHADEMA hawana uchungu na wananchi kwa sababu;-
1. Kipindi cha kilimo wameenda Nyanda za Juu Kusini na kutibua harakati za wananchi kujitafutia ridhiki kupitia mashambani.
2. Kuwafanya watoto washindwe kwenda shule na kufuata gari lao la matangazo. Hapa Dr. Slaa anatoonyesha mfano mbaya kwa kuwapotezea taifa la kesho muda wao wa kwenda shule na kupata elimu.
3. Viongozi wa CDM hawana utashi wa kulipa kodi ingawa ni hodari wa kula mapesa ya wananchi kupitia ruzuku.
HAWA CDM waogopwe kama kipindupindu!!!!!
Tafakari kabla hujaandika!