CHADEMA Kususia Uchaguzi 2024 - 2025

Filosofia ya Rorya

JF-Expert Member
Sep 20, 2021
3,214
3,587
Dhamira ya CHADEMA Kususia Uchaguzi wa 2024 - 2025 ikiwa Katiba mpya, Tume mpya ya Uchaguzi na Maridhiano havitapatikana je:

1. Ni sahihi hii?

2. Hainyimi haki wanachama wake kushiriki chaguzi?

3. Wabunge 20 wake walioko Bungeni watakuwa wageni wa nani?

4. Chama kitachoshinda kitaongozaje shughuli za Bunge bila wapinzani?

5. Mbowe ataweza kushikilia msimamo huu hata mbele ya mabilioni ya ela ya kumshawishi abadili msimamo?

6. Namba 5 ikifanikiwa taswira ya Mbowe itakuwaje? Au itaonekana kama mbinu ya kutega uchumi?

7. Nini itakuwa hatma ya demokrasia ya JMT hususan SMT?

8. Wafadhili wataendelea kuivumilia JMT?

9. Vyama vingine vya upinzani vitaunga mkono uamuzi wa CHADEMA?

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
CHADEMA na wananchi hatutosusia uchaguzi.

Tutahakikisha bila kupatikana Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi, hapatafanyika uchaguzi wowote.
 
Dawa ni kutafuta namna yoyote, uchaguzi usifanyike kwa namna yoyote pasipokua na katiba mpya, tume huru ya uchaguzi na mengineyo,endapo CHADEMA mkisusa, hiyo itakua fursa kwa akina Zuberi Zitto Kabwe, akina Lipumba na wengine,kujipatia hata wabunge wa kuzugia mle mjengoni kua upinzani upo.CCM hawana haya,hawatawaonea huruma,fanyeni namna.
 
Kususia uchaguzi kama Chama si suluhu kwa ccm iliyozoea kupita bila kupingwa!
Kama CDM wapo serious watumie ripoti ya CAG plus ile mijadala ya bungeni kuichonganisha ccm na wananchi!
 
Dhamira ya CHADEMA Kususia Uchaguzi wa 2024 - 2025 ikiwa Katiba mpya, Tume mpya ya Uchaguzi na Maridhiano havitapatikana je:

1. Ni sahihi hii?

2. Hainyimi haki wanachama wake kushiriki chaguzi?

3. Wabunge 20 wake walioko Bungeni watakuwa wageni wa nani?

4. Chama kitachoshinda kitaongozaje shughuli za Bunge bila wapinzani?

5. Mbowe ataweza kushikilia msimamo huu hata mbele ya mabilioni ya ela ya kumshawishi abadili msimamo?

6. Namba 5 ikifanikiwa taswira ya Mbowe itakuwaje? Au itaonekana kama mbinu ya kutega uchumi?

7. Nini itakuwa hatma ya demokrasia ya JMT hususan SMT?

8. Wafadhili wataendelea kuivumilia JMT?

9. Vyama vingine vya upinzani vitaunga mkono uamuzi wa CHADEMA?

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Kambarage na wapigania uhuru wengine, wakati ule wa harakati za ukombozi wa nchi za Afrika, kama wangalikuwa ni wasusaji kutokana na shera kandamizi zilizokuwapo, basi hadi hivi sasa nchi nyingi zingalikuwa bado chini ya tawala za kikoloni.

Vyama vya upinzani ni lazima vije na "Plan B" ili kukabiliana na wizi wa kura kupitia njama za chama tawala kikisaidiwa na mbeleko ya vyombo vya dola. Ni lazima vianze kutoa dhamira ya vitisho binafsi kwa yeyote yule ambaye atathubutu kupindisha haki wakati wa uchaguzi.

Iwe "covertly or overtly" vitisho hivyo viainishe aina ya adhabu ambayo mpindisha haki ataipata. Ili akili ziwarudie mojawapo ya hizi inaweza kufaa kutamkwa;
1. Kuchomewa nyumba ama ofisi zao hali yeye binafsi akiwa ndani ama familia yake, ama wote
2. Kufanya hujuma katika vitega uchumi vyote ambavyo amewekeza
3. Matumizi ya sumu pale awapo sehemu za mikusanyiko yoyote ya kijamii, yeye binafsi ama familia yake.
4. Matumizi ya "assassin" ili waweze kudhuriwa sehemu yoyote ile watakapo kuwepo.
5. N.k, n.k,....

Wakijihisi hawako tena salama, watatumia gharama kubwa sana kuitafuta amani. Na ni hapo ndipo watakapo kuja kutambua kuna tofauti kati utulivu dhidi ya amani, dhuluma dhidi haki, na tamaa dhidi ya uwiano mzuri wa kimaslahi.
 
Dhamira ya CHADEMA Kususia Uchaguzi wa 2024 - 2025 ikiwa Katiba mpya, Tume mpya ya Uchaguzi na Maridhiano havitapatikana je:

1. Ni sahihi hii?

Kususa haijawahi kuwa sahihi. Niliwahi kuuliza humu, Swali kuhusu tabia ya kususa, kugomea au kuzira: Je, si tabia za kike, si utoto?
Niliwahi kushauri Chadema, P'se, Msisusie Mkutano wa Vyama, Wasilisheni Hoja Zenu Mezani, Zitamfikia Samia, Ana Nia Njema na Nchi Hii, Mpeni Ushirikiano!.

2. Hainyimi haki wanachama wake kushiriki chaguzi?
Kususa ni kuwanyima haki wanachama wake
3. Wabunge 20 wake walioko Bungeni watakuwa wageni wa nani?
Wale ni wabunge halali kabisa wa Chadema mpaka 2025, tuliwashauri Chadema CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao
4. Chama kitachoshinda kitaongozaje shughuli za Bunge bila wapinzani?
Kwa sasa CCM inaongozaje Bunge bila upinzani?, Bunge jipya lina hali mbaya! Serikali itafanaje kuliokoa Bunge ili kuwa na Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni?
5. Mbowe ataweza kushikilia msimamo huu hata mbele ya mabilioni ya ela ya kumshawishi abadili msimamo?
Hili nimelizungumza Siasa za Kijungu Jiko, Penye Uzia, Penyeza Rupia!. Hakuna Mkate Mgumu Mbele ya Chai!, Hata Uwe Mgumu Vipi, Mbele ya Chai/Rupia, Lazima Utalainika!
7. Nini itakuwa hatma ya demokrasia ya JMT hususan SMT?,
Hii ndio demokrasia yetu!, Watanzania tutaendelea kusubiri mpaka lini Bunge likitunga Sheria batili na kuuchomekea ubatili huo ndani ya Katiba yetu? Tufanye nini?
8. Wafadhili wataendelea kuivumilia JMT?
Hatuwategemei wafadhili
9. Vyama vingine vya upinzani vitaunga mkono uamuzi wa CHADEMA?
Chadema sio SI unit ya upinzani Tanzania, chama kikuu cha upinzani Tanzania ni ACT na sio Chadema!, ACT Wazalendo kitashiriki uchaguzi na kitashinda Zanzibar!. OMO ndiye Rais wa Zanzibar 2025!. Kiukweli, Kama Sio Nguvu ya Soda, Then ACT ni Tishio. Hawa ni The Underdogs, Huwezi Kuwapuuza

Asante

P
 
CHADEMA na wananchi hatutosusia uchaguzi,

Tutahakikisha bila kupatikana Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi, hapatafanyika uchaguzi wowote.
mwananchi mmoja anafikiria kuzuia uchaguzi, ivi unaijua Tanzania yenye mwenge wa uhuru? Nchi inayotumia kiswahili? yenye jeshi lenye nyota Tano ,?
 
Dhamira ya CHADEMA Kususia Uchaguzi wa 2024 - 2025 ikiwa Katiba mpya, Tume mpya ya Uchaguzi na Maridhiano havitapatikana je:

1. Ni sahihi hii?

2. Hainyimi haki wanachama wake kushiriki chaguzi?

3. Wabunge 20 wake walioko Bungeni watakuwa wageni wa nani?

4. Chama kitachoshinda kitaongozaje shughuli za Bunge bila wapinzani?

5. Mbowe ataweza kushikilia msimamo huu hata mbele ya mabilioni ya ela ya kumshawishi abadili msimamo?

6. Namba 5 ikifanikiwa taswira ya Mbowe itakuwaje? Au itaonekana kama mbinu ya kutega uchumi?

7. Nini itakuwa hatma ya demokrasia ya JMT hususan SMT?

8. Wafadhili wataendelea kuivumilia JMT?

9. Vyama vingine vya upinzani vitaunga mkono uamuzi wa CHADEMA?

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Hebu tuacheni tupumzike, vyama vipo vingi siyo Chademe peke yake
 
Kambarage na wapigania uhuru wengine, wakati ule wa harakati za ukombozi wa nchi za Afrika, kama wangalikuwa ni wasusaji kutokana na shera kandamizi zilizokuwapo, basi hadi hivi sasa nchi nyingi zingalikuwa bado chini ya tawala za kikoloni.

Vyama vya upinzani ni lazima vije na "Plan B" ili kukabiliana na wizi wa kura kupitia njama za chama tawala kikisaidiwa na mbeleko ya vyombo vya dola. Ni lazima vianze kutoa dhamira ya vitisho binafsi kwa yeyote yule ambaye atathubutu kupindisha haki wakati wa uchaguzi.

Iwe "covertly or overtly" vitisho hivyo viainishe aina ya adhabu ambayo mpindisha haki ataipata. Ili akili ziwarudie mojawapo ya hizi inaweza kufaa kutamkwa;
1. Kuchomewa nyumba ama ofisi zao hali yeye binafsi akiwa ndani ama familia yake, ama wote
2. Kufanya hujuma katika vitega uchumi vyote ambavyo amewekeza
3. Matumizi ya sumu pale awapo sehemu za mikusanyiko yoyote ya kijamii, yeye binafsi ama familia yake.
4. Matumizi ya "assassin" ili waweze kudhuriwa sehemu yoyote ile watakapo kuwepo.
5. N.k, n.k,....

Wakijihisi hawako tena salama, watatumia gharama kubwa sana kuitafuta amani. Na ni hapo ndipo watakapo kuja kutambua kuna tofauti kati utulivu dhidi ya amani, dhuluma dhidi haki, na tamaa dhidi ya uwiano mzuri wa kimaslahi.
Hizi mbinu niliwahi kuzipendekeza sana watu wakawa wanasema napandikiza chuki kwenye jamii. Niliwahi kusema kama wanaogopa kuhubiri njia hizo, basi waseme hakuna kushirikiana kwenye shughuli misiba, sherehe, nyumba za ibada ama hafla yoyote na wafuasi wa ccm. Hizo wangalau ni njia za amani lakini zenye impact ya Moja kwa Moja kwenye jamii.
 
Back
Top Bottom