CreativityCode
Senior Member
- Aug 8, 2020
- 158
- 653
Nimeona wachache wakibeza CHADEMA kuchangisha fedha kwenye mikutano yake ya kampeni sidhani ikiwa wako makini.
Ila ukweli ni kwamba watu wote wanaopenda mabadiliko ya kweli ambayo kwa hakika kwa kipindi hiki anayeweza kuyaleta ni Tundu Lissu pekee.
Wala siyo Magufuli kwa maana tumekwisha muona kwa miaka 5 yote na bado ameendelea kuahidi yaleyale ambayo kwayo maisha ya watu yamekuwa magumu na haki ya kuishi na uhuru wa kuongea ukiminywa ili yeye pekee aonekane mbele ya wananchi
Wala siyo Membe maana ana kila elements za CCM
Wala siyo Lipumba maana ni mamluk
SASA WEWE USIPOMCHANGIA LISSU NA CHADEMA WADHANI FEDHA ZA KAMPENI ZITATOKA WAPI? NAWASIHI NDUGU ZANGU WAPENDA HAKI TUICHANGIE CHADEMA ILI TUNDU LISSU AWEZE KUWAFIKIA WAPIGA KURA WENGI ZAIDI.
MWISHO NAWAOMBA CHADEMA MUWEKE NA ACCOUNT YA BENKI ILI TULIO NJE YA NCHI NASI TUCHANGIE
NI HAYO TU, USIKU MWEMA
Ila ukweli ni kwamba watu wote wanaopenda mabadiliko ya kweli ambayo kwa hakika kwa kipindi hiki anayeweza kuyaleta ni Tundu Lissu pekee.
Wala siyo Magufuli kwa maana tumekwisha muona kwa miaka 5 yote na bado ameendelea kuahidi yaleyale ambayo kwayo maisha ya watu yamekuwa magumu na haki ya kuishi na uhuru wa kuongea ukiminywa ili yeye pekee aonekane mbele ya wananchi
Wala siyo Membe maana ana kila elements za CCM
Wala siyo Lipumba maana ni mamluk
SASA WEWE USIPOMCHANGIA LISSU NA CHADEMA WADHANI FEDHA ZA KAMPENI ZITATOKA WAPI? NAWASIHI NDUGU ZANGU WAPENDA HAKI TUICHANGIE CHADEMA ILI TUNDU LISSU AWEZE KUWAFIKIA WAPIGA KURA WENGI ZAIDI.
MWISHO NAWAOMBA CHADEMA MUWEKE NA ACCOUNT YA BENKI ILI TULIO NJE YA NCHI NASI TUCHANGIE
NI HAYO TU, USIKU MWEMA