CHADEMA impigie magoti Dr. Slaa!

CHADEMA impigie magoti Dr. Slaa!

" Nina kazi ya kuondoa upayukaji CDM"-Dr Mashinji
juzi tu keshapayuka, au anaposema ana kazi ya kuuondoa upayukaji, mi sijamuelewa unaweza kunielewesha mkuu, hivi LAWRENCE MASHA YUKO WAPI?
 
Chadema ni imara kuliko slaa ndio maana alipotoka ccm hakwenda TLP, NCCR, UDP wala vyama vingine, acha kutuaminisha kuwa slaa ndio chadema.. Unataka kutuambia Slaa anatakiwa awe katibu mkuu wa kudumu, kwani yeye ni MLIMA useme atadumu mpaka mwisho wa dunia?! Chadema ni imara hata sasa ndio maana ccm wameamua kujifungia bungeni bila kuwapa wananchi haki yao ya habari za bunge.
 
INABIDI CDM TUTUME UJUMBE MAALUM UKIONGOZWA NA MMILIKI WA CHAMA MZEE MTEII ILI TUMUOMBE RADHI DR. SLAA ARUDI CHAMANI NA KIPEWA UKATIBU MKUU..

TUNADHALILIKA CDM HATUNA THINK TANK...
 
Move ya KUB ni Kisu kilichogonga kwenye mfupa wanaccm mmeanza kupiga mayowe sasa.
Move gani ya ovyo tu... sasa kutoka ndio inasaidia nini wakati huna sababu ya maana ya kutoka. waulizeni cuf, wamegoma uchaguzi lakini umefanyika cuf sasa nje hawana hata pa kusemea. huyo mashilingi katibu gani eti move yake ya maana anadai mwenyewe eti ni kuanzisha slogan ya 'lowassa mageuzi' huku wanapiga pedal mikono... viatu vya dr. slaa kapwaya sana sijui hiyo Phd kama ni zile za kuandikiwa thesis labda. chakufanya mbowe amwachie chama mwenyewe aliyekijenga dr. slaa aje arekebishe mambo.
 
Mwandishi, woga wa nn juu ya CDM? Mbona mmetoka kuwashinda kwa mbali majuzi tu? Au ni kweli mnawaibia kura na hamwashindi kihalali. Mbona woga hauwaishi?
 
juzi tu keshapayuka, au anaposema ana kazi ya kuuondoa upayukaji, mi sijamuelewa unaweza kunielewesha mkuu, hivi LAWRENCE MASHA YUKO WAPI?
Mwanamkakati mkuu wa bosi mkuu pale mikocheni.
 
Kama umeshukuru Rais kuua upinzani kuna haja gani ya kutoa tena ushauri kwa vyama hivyo visife!!!
UPinzani wa ovyo ndio hautakiwi, wa kuwapa vijana viroba na kupiga mayowe, tengenezeni think takers .na unataka kujua nimesimamia wapi ili iweje, kazi ya falsafa mara nyingine ni kumwacha msomaji mjinga kama wewe njia panda.
 
UPinzani wa ovyo ndio hautakiwi, wa kuwapa vijana viroba na kupiga mayowe, tengenezeni think takers .na unataka kujua nimesimamia wapi ili iweje, kazi ya falsafa mara nyingine ni kumwacha msomaji mjinga kama wewe njia panda.
Ume panic
Huna lolote we mchumia tumbo, na huo ushaur wako wa kipuuzi.
 
Kifupi ni CHADEMA ijenge system imala ya kuongoza
Bila hivyo kitakuwa ni chama cha mtu moja
 
Ukiwa nje ya nchi akaja mtu mweusi kama wewe mkasalimiana akakutambulisha yeye ni mtanzania timua mbio.
 
Namshukuru mwenyezi MUNGU muumba mbingu na nchi kwa kunipa afya na uhai na kuniwezesha kuandika haya amabayo Napata kuyaandika sasa, Sifa na utukufu vimwendee yeye mweza yote.

Salamu nyingi zikufikie Mwenyekiti mpendwa wa Chama cha demokrasia na maendeleo, umekuwa kiongozi mahiri kwa kuongoza chama kilichojaa vijana wasomi na wenye kutaka kujua na kujifunza uongozi, hata wakati mwingine walipotaka kwenda kinyume na matakwa yako , ulilitumia rungu lako vizuri kwa kuwapotezea mbali, hata wengine wakafia mbali, namkumbuka marehemu Chacha Wangwe na kiongozi wa ACT wazalendo Mhe Zuberi Zitto Kabwe, ni watu ambao walionja joto yako MHE MBOWE bila kumsahau mwanafalsafa mahiri DR, SLAA,huyu ulimuumiza kisaikologia na kifikra sana, kwani alilolisimamia maishani mwake we ulimgeuka na kulikumbatia lile alihohubiri kwa Watanzania kuwa ndio linalotafuna nchi yetu, yaaani ufisadi, Mhe Mbowe wewe ukawa rafiki mkubwa wa ufisadi ulimkosea sana mwanafalsafa huyu mahiri, na ndio maana kwa misingi ya kifalsafa hakuona kama ni vyema kuendelea na safari hiyo.

Kwa msingi huo DR Slaa anayo haki ya kuombwa msamaha kwani, Mhe Mbowe ulimkosea sana hata kama ni ile ya kinafiki ambayo uliifanya kwa Zitto Zuberi Kabwe ni sawa tu , lakini uoneshe utu na uungwana kwani dhambi ya kumkosea DR inakitafuna chama kwa sasa,kwanini naema inakitafuna chama, mtazame Mashinji hana hoja , anaongea kwa kulalamika, hotuba yake ilijaa malalamishi, sio kujenga hoja, chama kisimame vip, au wajipange vip, Badala yake amewaambukiza na vijana kulalamika, Nadhani ukikaaa na Mashinji faragaha ukimuuliza nini agenda za Chadema kwa miaka hii mitano, atakuwa hana , umempa mtu ukatibu ambae hajui katibu ni nani, na wajibu wa katibu ni nini,hilo ni kosa la pili ambalo umemkosea DR SLAA, mtafute umuombe radhi walau hata awape ushauri mnatakiwa kufanya nini, la sivyo Chadema is dying a natural death.
Asante sana.
HIVI KUWA NA MADIWANI WENGI NA WABUNGE WENGI NDO CHAMA KIMEKUFA?ACHENI USHABIKI MAANDAZI NINYI.
 
Namshukuru mwenyezi MUNGU muumba mbingu na nchi kwa kunipa afya na uhai na kuniwezesha kuandika haya amabayo Napata kuyaandika sasa, Sifa na utukufu vimwendee yeye mweza yote.

Salamu nyingi zikufikie Mwenyekiti mpendwa wa Chama cha demokrasia na maendeleo, umekuwa kiongozi mahiri kwa kuongoza chama kilichojaa vijana wasomi na wenye kutaka kujua na kujifunza uongozi, hata wakati mwingine walipotaka kwenda kinyume na matakwa yako , ulilitumia rungu lako vizuri kwa kuwapotezea mbali, hata wengine wakafia mbali, namkumbuka marehemu Chacha Wangwe na kiongozi wa ACT wazalendo Mhe Zuberi Zitto Kabwe, ni watu ambao walionja joto yako MHE MBOWE bila kumsahau mwanafalsafa mahiri DR, SLAA,huyu ulimuumiza kisaikologia na kifikra sana, kwani alilolisimamia maishani mwake we ulimgeuka na kulikumbatia lile alihohubiri kwa Watanzania kuwa ndio linalotafuna nchi yetu, yaaani ufisadi, Mhe Mbowe wewe ukawa rafiki mkubwa wa ufisadi ulimkosea sana mwanafalsafa huyu mahiri, na ndio maana kwa misingi ya kifalsafa hakuona kama ni vyema kuendelea na safari hiyo.

Kwa msingi huo DR Slaa anayo haki ya kuombwa msamaha kwani, Mhe Mbowe ulimkosea sana hata kama ni ile ya kinafiki ambayo uliifanya kwa Zitto Zuberi Kabwe ni sawa tu , lakini uoneshe utu na uungwana kwani dhambi ya kumkosea DR inakitafuna chama kwa sasa,kwanini naema inakitafuna chama, mtazame Mashinji hana hoja , anaongea kwa kulalamika, hotuba yake ilijaa malalamishi, sio kujenga hoja, chama kisimame vip, au wajipange vip, Badala yake amewaambukiza na vijana kulalamika, Nadhani ukikaaa na Mashinji faragaha ukimuuliza nini agenda za Chadema kwa miaka hii mitano, atakuwa hana , umempa mtu ukatibu ambae hajui katibu ni nani, na wajibu wa katibu ni nini,hilo ni kosa la pili ambalo umemkosea DR SLAA, mtafute umuombe radhi walau hata awape ushauri mnatakiwa kufanya nini, la sivyo Chadema is dying a natural death.
Asante sana.
Mkuu matusi kwa KUB unatwanga kinu cha maji. Huna sifa hata ya kutukanwa. Slaa ni saizi yenu huko Lumumba si kwa CHADEMA.
 
Mkuu matusi kwa KUB unatwanga kinu cha maji. Huna sifa hata ya kutukanwa. Slaa ni saizi yenu huko Lumumba si kwa CHADEMA.
Ni ushauri tu mkuu...........hata we kama kuna mahala nitaona unafaa kushauriwa nitakushauri tu.............
 
Back
Top Bottom