@salaryslip muombeni Dr aje kuwasaidia
Slaa amepitwa na wakati, haifai Chadema ni "Liability and Political Opportunist". Akae tu huko ccm. He is hopeless as a leader.
Magufuli yuko na backet lake la jiki, dodoki, sabuni, tambala, maji n.k akimsafisha Lowassa na uchafu wake aliotuambia Magufuli kuwa alimkimbia ccm sababu ya uchafu wakena lowassa?
basi mbembeleze lowassa
Chadema imerudishwa nyuma sana na hawa "Political Mercenaries" toka ccm na sasa ni muda wa kuachana nao once and for all.na lowassa?
basi mbembeleze lowassa
Vitu vingine usiombee vitokee! Mbaya kwa afya yako.Mbowe,lissu,Baregu na Mnyika hawana budi kumpigia magoti Dr Slaa kwani yote aliyotahadharisha kuhusu ujio usio na maandalizi wa Lowassa yametokea.
Mbaya zaidi mpaka sasa CDM imekosa mwelekeo baada ya kushindwa kumpata katibu kwa takribani miezi mitano.
Ni vizuri wakamuomba Slaa arejee kuwasaidia baada ya kujifunza na makosa ya gia za angani.
Nyie mshazoea kuwapigia magoti wenzenutoo late