Anayefanya mzaha kwenye siasa za mageuzi ni yule anayeweka gia za angani ni wale wanaochekacheka na kukubali kuzungushwa mikono!Anzisha chama chako uwape vyeo unavyoona wanastahili. Vinginevyo unafanya mzaha na siasa za mageuzi. Zito yuko na chama chake, wewe bado unaona hastahili kuwa na chama ila aangukiwe na Cdm apewe ukatibu mkuu, Dr. Slaa anakula bata huko aliko bado wewe unaona aangukiwe arudi kuwa katibu mkuu!!!!.Mkuu kwa nini unapenda sana kuwafikiria watu na kuwapangia mambo ya kufanya? Mwanaume hupaswi kuwa mnafiki kiasi hicho,...,.....,
Sihitaji heshima kutoka kwa Nyumbu mzee!Mkuu heshima katika jamii ni muhimu Sana. Yaani wewe hapa jamvini umejishushia heshima Sana. Sijui ni mkakati au ndo uwezo wako ulivyo. Huwa unaleta Mada za ajabu Sana hapa
Hiyo mizaha yenu ndiyo inawafanya Wtz kushindwa kushiriki siasa za Tz. Lakini yana mwishoAnayefanya mzaha kwenye siasa za mageuzi ni yule anayeweka gia za angani ni wale wanaochekacheka na kukubali kuzungushwa mikono!
Nahisi umekosa cha kuandika, bora uchangie hoja za wengine wenye nyuzi zenye manufaa.
Chadema impigie magoti slaa, thubutu ako!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Babu anajifua, mwacheni apige buku !! elimu haina mwisho. Muda ukifika atarudi na ataamua hatma yake kisiasa, kama kufungua chama kipya ama kujiunga na kimojawapo kati ya hivi vilivyopo.Mbowe,lissu,Baregu na Mnyika hawana budi kumpigia magoti Dr Slaa kwani yote aliyotahadharisha kuhusu ujio usio na maandalizi wa Lowassa yametokea.
Mbaya zaidi mpaka sasa CDM imekosa mwelekeo baada ya kushindwa kumpata katibu kwa takribani miezi mitano.
Ni vizuri wakamuomba Slaa arejee kuwasaidia baada ya kujifunza na makosa ya gia za angani.
Mbowe,lissu,Baregu na Mnyika hawana budi kumpigia magoti Dr Slaa kwani yote aliyotahadharisha kuhusu ujio usio na maandalizi wa Lowassa yametokea.
Mbaya zaidi mpaka sasa CDM imekosa mwelekeo baada ya kushindwa kumpata katibu kwa takribani miezi mitano.
Ni vizuri wakamuomba Slaa arejee kuwasaidia baada ya kujifunza na makosa ya gia za angani.
Mbowe,lissu,Baregu na Mnyika hawana budi kumpigia magoti Dr Slaa kwani yote aliyotahadharisha kuhusu ujio usio na maandalizi wa Lowassa yametokea.
Mbaya zaidi mpaka sasa CDM imekosa mwelekeo baada ya kushindwa kumpata katibu kwa takribani miezi mitano.
Ni vizuri wakamuomba Slaa arejee kuwasaidia baada ya kujifunza na makosa ya gia za angani.
Hakuna sehemu nimemwamini mwanasiasa !
yeye mwenyewe chanzo, CCM yanasutana sasa.Lete vyanzo vya habari