spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,226
Cdm ya leo mwendokasi. Hata hawajielewiS
Sijui Mbowe kawapa Nini CDM yaani wanauamini uwongo wake kuliko ukweli wa Dr Slaa!
Cdm ya leo mwendokasi. Hata hawajielewiS
Sijui Mbowe kawapa Nini CDM yaani wanauamini uwongo wake kuliko ukweli wa Dr Slaa!
Ninyi mnasaidiwa sipika wa bunge,Polisi na serikali pamoja jeshi na usalama wa taifa kuuwa upinzani ruhusuni mikutano kama anavyofanya bulemboKuwashauri Chadema wampigie magoti Slaa haimaanishi Slaa amekuwa kipenzi cha wana ccm.
Ushauri wa kumrudisha Slaa ni ili kujenga afya ya upinzani wa kweli wenye tija kwa taifa na sio vigenge vya wahuni wanaotafuna ruzuku
Mikutano ya Nini watu wafanye kaziNinyi mnasaidiwa sipika wa bunge,Polisi na serikali pamoja jeshi na usalama wa taifa kuuwa upinzani ruhusuni mikutano kama anavyofanya bulembo
Mbowe,lissu,Baregu na Mnyika hawana budi kumpigia magoti Dr Slaa kwani yote aliyotahadharisha kuhusu ujio usio na maandalizi wa Lowassa yametokea.
Mbaya zaidi mpaka sasa CDM imekosa mwelekeo baada ya kushindwa kumpata katibu kwa takribani miezi mitano.
Ni vizuri wakamuomba Slaa arejee kuwasaidia baada ya kujifunza na makosa ya gia za angani.
Pumbavu! Nani ampigie magoti Dr. Slaa ana kitu gani kipya wakati ametelekeza wana kondoo mwituniMbowe,lissu,Baregu na Mnyika hawana budi kumpigia magoti Dr Slaa kwani yote aliyotahadharisha kuhusu ujio usio na maandalizi wa Lowassa yametokea.
Mbaya zaidi mpaka sasa CDM imekosa mwelekeo baada ya kushindwa kumpata katibu kwa takribani miezi mitano.
Ni vizuri wakamuomba Slaa arejee kuwasaidia baada ya kujifunza na makosa ya gia za angani.
CCM ndiyo iliyoangukia pua! Ungejaribu basi kuacha kutumia Polisi uone kama ungepata walah kata mojaHatari sana ....Chadema inaendelea kuangukia pua tu
Hiyo Kata Moja mliposhinda tulishindwa kutumia Polisi?CCM ndiyo iliyoangukia pua! Ungejaribu basi kuacha kutumia Polisi uone kama ungepata walah kata moja
jinga laoMbowe,lissu,Baregu na Mnyika hawana budi kumpigia magoti Dr Slaa kwani yote aliyotahadharisha kuhusu ujio usio na maandalizi wa Lowassa yametokea.
Mbaya zaidi mpaka sasa CDM imekosa mwelekeo baada ya kushindwa kumpata katibu kwa takribani miezi mitano.
Ni vizuri wakamuomba Slaa arejee kuwasaidia baada ya kujifunza na makosa ya gia za angani.
Kwahiyo unataka wafanye kama ccm ilivyofanya kuwapigia magoti Lowassa na Rostam?Mbowe,lissu,Baregu na Mnyika hawana budi kumpigia magoti Dr Slaa kwani yote aliyotahadharisha kuhusu ujio usio na maandalizi wa Lowassa yametokea.
Mbaya zaidi mpaka sasa CDM imekosa mwelekeo baada ya kushindwa kumpata katibu kwa takribani miezi mitano.
Ni vizuri wakamuomba Slaa arejee kuwasaidia baada ya kujifunza na makosa ya gia za angani.
Kakojoe stendiMbowe,lissu,Baregu na Mnyika hawana budi kumpigia magoti Dr Slaa kwani yote aliyotahadharisha kuhusu ujio usio na maandalizi wa Lowassa yametokea.
Mbaya zaidi mpaka sasa CDM imekosa mwelekeo baada ya kushindwa kumpata katibu kwa takribani miezi mitano.
Ni vizuri wakamuomba Slaa arejee kuwasaidia baada ya kujifunza na makosa ya gia za angani.