CHADEMA impigie magoti Dr. Slaa!

CHADEMA impigie magoti Dr. Slaa!

Jumatano ya tarehe 28 October, Jakaya Kikwete asipotukabidhi nchi tutamtoa kwa maandamano kama ya Ivory coast.Mbowe 24 October 2015 viwanja cha Jangwani. Mikwala mingi kumbe hata kuteua katibu as Chama wanaogopa
 
Too late imeingia taasisi nyingine pale ,utakuja kuamini tu kuwa CDM is dying
 
Mbowe,lissu,Baregu na Mnyika hawana budi kumpigia magoti Dr Slaa kwani yote aliyotahadharisha kuhusu ujio usio na maandalizi wa Lowassa yametokea.

Mbaya zaidi mpaka sasa CDM imekosa mwelekeo baada ya kushindwa kumpata katibu kwa takribani miezi mitano.

Ni vizuri wakamuomba Slaa arejee kuwasaidia baada ya kujifunza na makosa ya gia za angani.
CDM NI AIBU TU YA KIBINADAMU INAWAFANYA WACHELEE KUMUOMBA MSAMAHA DR. SLAA. WAKISHINDWA BASI WAMUANGUKIE ZITTO KABWE AWE KATIBU MKUU. GIA ZA ANGANI ZILISHINDWA WAKADONDOKEA PUA
 
Mbowe,lissu,Baregu na Mnyika hawana budi kumpigia magoti Dr Slaa kwani yote aliyotahadharisha kuhusu ujio usio na maandalizi wa Lowassa yametokea.

Mbaya zaidi mpaka sasa CDM imekosa mwelekeo baada ya kushindwa kumpata katibu kwa takribani miezi mitano.

Ni vizuri wakamuomba Slaa arejee kuwasaidia baada ya kujifunza na makosa ya gia za angani.

Kampigia Magoti kwa niaba yao.Maana unakimbelembele kama Makondakta
 
CDM NI AIBU TU YA KIBINADAMU INAWAFANYA WACHELEE KUMUOMBA MSAMAHA DR. SLAA. WAKISHINDWA BASI WAMUANGUKIE ZITTO KABWE AWE KATIBU MKUU. GIA ZA ANGANI ZILISHINDWA WAKADONDOKEA PUA

Kama vile mnavyotamani Lowassa arudi CCM au??
 
Apigiwe magoti ya nini wakat alijiondoa mwenyewe!ulisikia hotuba ya mbowe alipokuwa kwenye kampeni karatu?
 
Mbowe,lissu,Baregu na Mnyika hawana budi kumpigia magoti Dr Slaa kwani yote aliyotahadharisha kuhusu ujio usio na maandalizi wa Lowassa yametokea.

Mbaya zaidi mpaka sasa CDM imekosa mwelekeo baada ya kushindwa kumpata katibu kwa takribani miezi mitano.

Ni vizuri wakamuomba Slaa arejee kuwasaidia baada ya kujifunza na makosa ya gia za angani.
Mbona huongelei idadi ya wabunge alio waacha slaa na wabunge waliopatikana chini ya uwepo wa lowasa?
 
JINGALAO
Unakumbuka ile timu bora kabisa iliyoasisi Chadema akiwemo Mtei,Ngwilulupi,Wassira nk...?Leo wote hawapo na chama kinakuwa kwa Kasi,sembuse Dr Mihogo?
Don't insult our intelligence
Cdm sasa inang'ara ndio maana ma ccm na vibaraka wao hawapati usingizi
 
Lowassa alikatwa CCM wakati Slaa alijitoa!

Kaka yangu Jingalao,naomba nikupe shule,katika maisha yako hata siku moja usimuamini MWANASIASA hata awe baba yako,msikilize achana naye endelea na safari.

Dr.Slaa kulingana na maelezo yake ndiye alieanzisha chokochoko ya kumleta Lowassa CDM,tena akasema akamwita na Mchungaji wake Gwajima wakaongea,,kwanza ilinishangaza aliyekuwa 'PADRE MKATOLIKI"ameenda kumuangukia MCHUNGAJI wa kiprotestant,naona hata imani yake alipoteza,ndiyo maana nasema usimwamini mwanasiasa hata kama ni baba yako.Hivyo hata Dr.Slaa usimwamini hata kidogo,akiongea msikilize endelea na safari.Wote wako kwa ajili ya matumbo yao.

Ukitaka kuhakikisha nenda South Sudan,Central Afrika na Burundi uone watu wa kawaida wanavyouawa,wanasiasa wako Geneva kwenye five star wakigombea kutawala,na wazungu wanazidi kutuua sababu wanawauzia silaha kali zaidi ili watuue zaidi.

Kwa heri kwa lsasa tuonane baadaye
 
Atarudi mwenyewe njaa ikitia adabu leo dada kauza nyumba yule babu kiazi kweli.
 
Propaganda at work..... ni kweli wamekuwa dhaifu baada ya Slaa kuondoka? Wawe dhaifu halafu waongoze Manispaa karibu zote za Dar? Sema tu ukweli bana....
 
Tatizo hamkumbuki na kufuatilia mambo....unapoongelea upinzani wenye afya unamuachaje Slaa?kilichomfanya yule mliyemzungushia mikono kuja Chadema badala ya kuanzisha chama chake ni kipi??

Slaa aliachwa na nani?
 
Kaka yangu Jingalao,naomba nikupe shule,katika maisha yako hata siku moja usimuamini MWANASIASA hata awe baba yako,msikilize achana naye endelea na safari.

Dr.Slaa kulingana na maelezo yake ndiye alieanzisha chokochoko ya kumleta Lowassa CDM,tena akasema akamwita na Mchungaji wake Gwajima wakaongea,,kwanza ilinishangaza aliyekuwa 'PADRE MKATOLIKI"ameenda kumuangukia MCHUNGAJI wa kiprotestant,naona hata imani yake alipoteza,ndiyo maana nasema usimwamini mwanasiasa hata kama ni baba yako.Hivyo hata Dr.Slaa usimwamini hata kidogo,akiongea msikilize endelea na safari.Wote wako kwa ajili ya matumbo yao.

Ukitaka kuhakikisha nenda South Sudan,Central Afrika na Burundi uone watu wa kawaida wanavyouawa,wanasiasa wako Geneva kwenye five star wakigombea kutawala,na wazungu wanazidi kutuua sababu wanawauzia silaha kali zaidi ili watuue zaidi.

Kwa heri kwa lsasa tuonane baadaye
Hakuna sehemu nimemwamini mwanasiasa !
 
Mbowe,lissu,Baregu na Mnyika hawana budi kumpigia magoti Dr Slaa kwani yote aliyotahadharisha kuhusu ujio usio na maandalizi wa Lowassa yametokea.

Mbaya zaidi mpaka sasa CDM imekosa mwelekeo baada ya kushindwa kumpata katibu kwa takribani miezi mitano.

Ni vizuri wakamuomba Slaa arejee kuwasaidia baada ya kujifunza na makosa ya gia za angani.
Anzisha chama chako uwape vyeo unavyoona wanastahili. Vinginevyo unafanya mzaha na siasa za mageuzi. Zito yuko na chama chake, wewe bado unaona hastahili kuwa na chama ila aangukiwe na Cdm apewe ukatibu mkuu, Dr. Slaa anakula bata huko aliko bado wewe unaona aangukiwe arudi kuwa katibu mkuu!!!!.Mkuu kwa nini unapenda sana kuwafikiria watu na kuwapangia mambo ya kufanya? Mwanaume hupaswi kuwa mnafiki kiasi hicho,...,.....,
 
Back
Top Bottom