Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,204
- 99,943
Mpwa naomba nikupuuze rasmi naona unaongea ndoto na nonsense.... asanteMwezi julai CCM ilijipambanua kama chama adilifu na chenye weledi wa hali ya juu katika siasa!
Mpwa naomba nikupuuze rasmi naona unaongea ndoto na nonsense.... asanteMwezi julai CCM ilijipambanua kama chama adilifu na chenye weledi wa hali ya juu katika siasa!
CCM kina miaka mingapi madarakini hadi kije kujipambanua mwaka huu kuwa ni chama adilifu na weledi wa hali ya juu? Unataka kutuaminisha nini hapa? kwamba CCM hakijawahi kuwa chama adilifu hadi Julai 2015? Are you serious kweli? Kama haya ndio majibu yako naomba nikubali kushindwa, naona najadili jambo na mtu mwenye uelewa na upeo mdogo sanaMwezi julai CCM ilijipambanua kama chama adilifu na chenye weledi wa hali ya juu katika siasa!
Mikakati gani wewe?
Hizo mbwembwe za mikakati ndio zile zile mbwe mbwe za gia za angani.
lowassa kawaingiza choo cha kike na wale waliosemwa watakuja ikabaki kama ile chorus ya anakuja.... anakuja... Sista P
Lowasa ataplay part yake???
Inaonesha huelewi unachokijadili...lowasa alishakwambia akiukosa urais ataenda kuchunga ng'ombe na ameanza kutekeleza hilo.
Hii ina maana lowassa kaachana na chadema baada ya kukosa alichokitaka sanasana kawaachia hulka ya kifisadi.
babu mihogo huyu huyu alietupiwa mabegi yake nje usiku akalala kwenye gari?
Mbowe,lissu,Baregu na Mnyika hawana budi kumpigia magoti Dr Slaa kwani yote aliyotahadharisha kuhusu ujio usio na maandalizi wa Lowassa yametokea.
Mbaya zaidi mpaka sasa CDM imekosa mwelekeo baada ya kushindwa kumpata katibu kwa takribani miezi mitano.
Ni vizuri wakamuomba Slaa arejee kuwasaidia baada ya kujifunza na makosa ya gia za angani.
Hivi akifa huyo Dr Slaa vipi kwani huyo ndiye mtu pekee CHADEMA anaweza kuwa katibu mkuu jaribu kujishughulisha na mawazo yako.
Mkubwa. Yaani Babu Na Mikwara Yake Yote, Akalazwa Ndani Ya Gari? Kweli Kiboko Ya Tembo Ni Sisimizi. Kwi.kwi.kwi.kwi.
Mwezi julai CCM ilijipambanua kama chama adilifu na chenye weledi wa hali ya juu katika siasa!
maskini dr. slaa, hakujua kuwa amezungukwa na kundi la wanafiki kwa miaka yote aliyoitumikia cdm. pamoja na yaliyomkuta, amedhihirisha nuru(dr. slaa) haichangamani na giza(kamati kuu ya cdm). dr. slaa si msaliti, bali mbowe na genge lake wameisaliti dhana nzima ya mabadiliko iliyohubiriwa na cdm.
nakushauri dr. slaa, hawa jamaa hata wakija wanatambaa kwa magoti kukuomba urejee cdm usikubali. mbowe haaminiki, aweza kuja na mpya ya kubadili gia si angani tena bali anga za juu, huku niliko mimi. aliyezoea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi. linda heshima yako epukana na wahuni.
Huyo ni kiongozi wa chama chenye mbunge mmoja nccr, wala chadema hawamjui.Mpaka leo miezi minne hakuna katibu..katiba yenu inataka nafasi ijazwe ndani ya siku 90,
Kazi kugombania maiti na kuangalia Jk anafanya nini