CHADEMA imeng'ara kwenye Uchaguzi na Itashinda 2015

CHADEMA imeng'ara kwenye Uchaguzi na Itashinda 2015

Bwana nyerere akili yake naifananisha na gazeti ya tanzania daima kwani limetuwaminisha kuwa cdm kimeshinda kata nane tena kwa wino mkubwa kurasa za mbele sasa namini nyerere nae anakuja na mambo ya kipumbafu anasema cdm kilienda kwenye opd kwajili ya kuwamasisha uwandikishaji wa daftari ya kupigia kura uongo mtupu bado jamjawambia wana cdm ukweli ile ilikuwa njia ya kupitia tu na chakusemea lengo la opd ilikuwa ni majungu na fitina kwa watu fulani nikupe mfano kwa yale ninayo juwa nilikuwepo kwenye kikao cha viongozi cha ndani kbla ya mkutano wa public uwanjani mbowe baada ya kulitaja jina la kabwe nakuonesha waraka unaomkshfu zito aliambiwa hawtaki kusikia kashfa yoyote kuhusu zito utubia usimkashfu na maneno yalimfanya mbowe kutokwenda kigoma akawatuma lema mnyika na mpemba kwenda kigoma swla hilo waliambiwa mikowa ya katavi na sumbawanga yeye akanyweya hapo wewe utaniambia nini ilnikuwelewe? Kaka najuwa umependa sana viongozi ndio mana ujajuwa mapungufu yao cdm leo kimehathirika kwa uchaguzi huu bado utaki kutambuwa jipangeni upya mje na maneno ya kutuweleza sio kwa kisa ya kuboresha daftari wala kuibiwa kura tatizo la cdm lipo ndni ya viongozi
 
CCM wanamtaji wa wapiga kura anbao wapo very commited na wanajua walipo na waafanya noni mfano Kata ya magomeni Bagamoyo ccm wanawanachama zaidi ya 1000 wenye uwezo wa kupiga kura na walijua wakidili na hao tu wanashinda uchaguzi ndiyo maana waliweza kuandaa usafiri wa wanachama wao na kwenda hata maeneo ya mbali kupiga kura.

Tofauti na CDM sisi hatuna hata data base ya idadi ya wananachama wetu hata kujua walipo na wanafanya nini je wanauwezo wakupiga kura au la.

CDM tunatakiwa kuwa na mfumo wa kuwatambua wanachama wetu walipo kuanzia ncazi za msingi kabisa.

Tena ingekuwa vema wanachama hawa kuwa na mikutano ya ndani kila baada ya muda fulani kufahamiana.
 
Chadema ni wamepigwa ngumi za uso sasa nyota nyota tu,,,,,mna miaka 50 za kujijenga na kuanza kuaminiwa.Subiri sana ,,ikulu sio pa kukimbilia kama unakimbilia chooni.
 
Mkuu nakuona ulivyokwazwa na mchango wa huyu kijana mchumia tumbo, tujipe moyo tutashinda tu ndugu
Nachukizwa sana na kejeli pamoja na dharau za hawa watu. Sijui n wapi wanakopata ujasili na kiburi cha kupuuza mapambano dhidi ya dhurma, unyanyasaji na umaskini. Hakika siku yao itakuja
 
Ulishawahi kupeleka ushauri wako ukakataliwa??

Ushauri wa bure kwako Yericko, just keep your side of the coin. Endelea na zile fitna zako za kutoa twisted updates sijui nani kakamatwa, sijui nini kinaendelea mahakamani. Ila hili la political analysis waachie wenyewe.
 
Inawezekana kauli yangu isiwaingie watu masikioni mwao kabisa, lakini nitawaeleza japo kwa kifupi.

Katika siasa kuna kitu kinaitwa siasa za jumla (general politics) na siasa za kijiografia (geography politics)

General politics inahusu mambo yanayohusu siasa za kitaifa bila kuchagua chama au itikadi na hizi mara nyingi husimamiwa kwa katiba, kanuni na sheria za nchi, hapa inahusiana pia na daftari la wapiga kura na tume ya uchaguzi,

Geography politics inahusu siasa za eneo husuka, kuna international gp, na domestic gp,

Katika hayo Chadema ime win kwenye Gp-D kwa asilimia zaidi ya 90%, hili linatokana na chama kushiriki uchaguzi kwa miaka yote huku mambo muhimu yanayopaswa kufanywa kwenye General Politics yakiwa doro kabisa, mambo hayo ni kama tume kuwa huru, daftari la wapigakura kuboreshwa, na dola kuvuruga chagizi nyingi kwa maslahi ya ccm.

Takwimu za chaguzi hizi zinatoa sura stahiki ya ubora wa domestic political ya Chadema,

Mathalani uchaguzi huu Chadema ilikuwa ikitetea kata 3, za Nyaisura, Kiborloni na Mikol.. Kigoma.

Tumepoteza Nyaisura, na Kigoma, na Tumeipoka ccm kata za Sombetini na Njombe.

Tamani ya kata ilizoshinda chadema nikubwa kuliko ccm, kubeba kata ya njombe ni turufu kubwa, vivyo hivyo kata ya sombetini. CCM hawajaongeza thamani yoyote ya kata,

Kwa lugha nyingine nikuwa CHADEMA 0-0 CCM, lakini CHADEMA wananafasi ya golden goal kwakubeba kata ya Njombe ambayo kwanza inafuta propaganda za ccm yakuwa chadema ni chama cha ukanda, sasa tunashuhudia Chadema sio chama cha ukanda tena bali chama cha kitaifa na kila pembe ya jamhuri hii.

Izingatiwe kuwa oparesheni Pamoja Daima haikuwa maalumu kwaajili ya uchsguzi huu bali sehemu ya ratiba ya chama katika kutoa elimu ya umma kudai/kuhimiza uboreshaji wa daftari la wapiga kura.

Naamini hapo mmenipata ndugu zangu mnaojenga hoja dhaifu kuwa kama dhana ni daftari la wapiga kura na polisi why kwingine chadema imeshinda?

Wewe kweli kubwa jinga na wajinga wenzio watakusapoti. na hayo mambo ya siasa za jumla siasa za rejareja zitaenda mpka 2050. CHAMA CHA KICHAGA HAKIN NAFASI TANZANIA
 
Bwana nyerere akili yake naifananisha na gazeti ya tanzania daima kwani limetuwaminisha kuwa cdm kimeshinda kata nane tena kwa wino mkubwa kurasa za mbele sasa namini nyerere nae anakuja na mambo ya kipumbafu anasema cdm kilienda kwenye opd kwajili ya kuwamasisha uwandikishaji wa daftari ya kupigia kura uongo mtupu bado jamjawambia wana cdm ukweli ile ilikuwa njia ya kupitia tu na chakusemea lengo la opd ilikuwa ni majungu na fitina kwa watu fulani nikupe mfano kwa yale ninayo juwa nilikuwepo kwenye kikao cha viongozi cha ndani kbla ya mkutano wa public uwanjani mbowe baada ya kulitaja jina la kabwe nakuonesha waraka unaomkshfu zito aliambiwa hawtaki kusikia kashfa yoyote kuhusu zito utubia usimkashfu na maneno yalimfanya mbowe kutokwenda kigoma akawatuma lema mnyika na mpemba kwenda kigoma swla hilo waliambiwa mikowa ya katavi na sumbawanga yeye akanyweya hapo wewe utaniambia nini ilnikuwelewe? Kaka najuwa umependa sana viongozi ndio mana ujajuwa mapungufu yao cdm leo kimehathirika kwa uchaguzi huu bado utaki kutambuwa jipangeni upya mje na maneno ya kutuweleza sio kwa kisa ya kuboresha daftari wala kuibiwa kura tatizo la cdm lipo ndni ya viongozi

Haya ndio mawazo, na huo ndio uhuru wa maoni, haya mkuu karibu
 
Ushauri wa bure kwako Yericko, just keep your side of the coin. Endelea na zile fitna zako za kutoa twisted updates sijui nani kakamatwa, sijui nini kinaendelea mahakamani. Ila hili la political analysis waachie wenyewe.

Akina nani waachiwe wenyewe? Kwani usiachiwe wewe???
 
Inawezekana kauli
yangu isiwaingie watu masikioni mwao kabisa, lakini nitawaeleza japo kwa
kifupi.

Katika siasa kuna kitu kinaitwa siasa za jumla (general politics) na
siasa za kijiografia (geography politics)

General politics inahusu mambo yanayohusu siasa za kitaifa bila
kuchagua chama au itikadi na hizi mara nyingi husimamiwa kwa katiba,
kanuni na sheria za nchi, hapa inahusiana pia na daftari la wapiga kura
na tume ya uchaguzi,

Geography politics inahusu siasa za eneo husuka, kuna international gp,
na domestic gp,

Katika hayo Chadema ime win kwenye Gp-D kwa asilimia zaidi ya 90%, hili
linatokana na chama kushiriki uchaguzi kwa miaka yote huku mambo muhimu
yanayopaswa kufanywa kwenye General Politics yakiwa doro kabisa, mambo
hayo ni kama tume kuwa huru, daftari la wapigakura kuboreshwa, na dola
kuvuruga chagizi nyingi kwa maslahi ya ccm.

Takwimu za chaguzi hizi zinatoa sura stahiki ya ubora wa domestic
political ya Chadema,

Mathalani uchaguzi huu Chadema ilikuwa ikitetea kata 3, za Nyaisura,
Kiborloni na Mikol.. Kigoma.

Tumepoteza Nyaisura, na Kigoma, na Tumeipoka ccm kata za Sombetini na
Njombe.

Tamani ya kata ilizoshinda chadema nikubwa kuliko ccm, kubeba kata ya
njombe ni turufu kubwa, vivyo hivyo kata ya sombetini. CCM hawajaongeza
thamani yoyote ya kata,

Kwa lugha nyingine nikuwa CHADEMA 0-0 CCM, lakini CHADEMA wananafasi ya
golden goal kwakubeba kata ya Njombe ambayo kwanza inafuta propaganda
za ccm yakuwa chadema ni chama cha ukanda, sasa tunashuhudia Chadema sio
chama cha ukanda tena bali chama cha kitaifa na kila pembe ya jamhuri
hii.

Izingatiwe kuwa oparesheni Pamoja Daima haikuwa maalumu kwaajili ya
uchsguzi huu bali sehemu ya ratiba ya chama katika kutoa elimu ya umma
kudai/kuhimiza uboreshaji wa daftari la wapiga kura.

Naamini hapo mmenipata ndugu zangu mnaojenga hoja dhaifu kuwa kama
dhana ni daftari la wapiga kura na polisi why kwingine chadema
imeshinda?

salute kwako mkuu!
 
Sijapata kuona mru mzima akijikanyaga kama anacyojikanyaga leo Yeriko Nyerere.
 
Wakati mwingine propoganda ikizidi pia ina athari zake baadaye. Kwa mfano Marekani ilipovamia Iraq, tulishuhudia propoganda za jinsi Askari wa sadam Hussein walivyo kuwa wanawachakaza wavamizi! Matokeo yake baadaye yalionekana. CHADEMA mlituaminisha wengi kuwa huko kwenye kata za uchaguzi mlikuwa mkifanya vizuri sana na kata zingine (nyasura na sombetini) washindani wenu walikuwa hawana wagombea! Matokeo yake tumeyaona.

matokeo ya haya yote ni athari kubwa kwenu. Wananchi wataacha kuamini taarifa zenu na baadhi Yao kuacha kuwaunga mkono. Ni vyema kwa kiasi Fulani mtoe taarifa zilizo na ukweli na uhalisia watu watawaelewa. Hivi kweli Kati ya kata 27 mmeshinda tatu bado mnamsema mmeng'ara!
 
Wakati mwingine propoganda ikizidi pia ina athari zake baadaye. Kwa mfano Marekani ilipovamia Iraq, tulishuhudia propoganda za jinsi Askari wa sadam Hussein walivyo kuwa wanawachakaza wavamizi! Matokeo yake baadaye yalionekana. CHADEMA mlituaminisha wengi kuwa huko kwenye kata za uchaguzi mlikuwa mkifanya vizuri sana na kata zingine (nyasura na sombetini) washindani wenu walikuwa hawana wagombea! Matokeo yake tumeyaona.

matokeo ya haya yote ni athari kubwa kwenu. Wananchi wataacha kuamini taarifa zenu na baadhi Yao kuacha kuwaunga mkono. Ni vyema kwa kiasi Fulani mtoe taarifa zilizo na ukweli na uhalisia watu watawaelewa. Hivi kweli Kati ya kata 27 mmeshinda tatu bado mnamsema mmeng'ara!

Hebu kosoa kwa tathimini mkuu sio hisia tu, rejea nyuma uone nilivyoeleza
 
Matokeo kama haya hapa chini kwao ni ushindi wanaita kung`ara.

Teh teh teh

unachukua kikata kimoja mlichochakachua ripoti ndo mnatuletea hapa, tafakari kwanza 2010 tulikuwa na mgombea
 
Mzee wenu najifunga mkanda kwani najua ndio kwaanza mapambano yanaanza.


Wanachadema hakuna kulala iwe usiku ama mchana mapambano ni makali haya!

Pia hii iwe chachu ya kuongeza nguvu na maarifa ya kupata ushindi mwaka 2014 na 2015.
 
Back
Top Bottom