Bwana nyerere akili yake naifananisha na gazeti ya tanzania daima kwani limetuwaminisha kuwa cdm kimeshinda kata nane tena kwa wino mkubwa kurasa za mbele sasa namini nyerere nae anakuja na mambo ya kipumbafu anasema cdm kilienda kwenye opd kwajili ya kuwamasisha uwandikishaji wa daftari ya kupigia kura uongo mtupu bado jamjawambia wana cdm ukweli ile ilikuwa njia ya kupitia tu na chakusemea lengo la opd ilikuwa ni majungu na fitina kwa watu fulani nikupe mfano kwa yale ninayo juwa nilikuwepo kwenye kikao cha viongozi cha ndani kbla ya mkutano wa public uwanjani mbowe baada ya kulitaja jina la kabwe nakuonesha waraka unaomkshfu zito aliambiwa hawtaki kusikia kashfa yoyote kuhusu zito utubia usimkashfu na maneno yalimfanya mbowe kutokwenda kigoma akawatuma lema mnyika na mpemba kwenda kigoma swla hilo waliambiwa mikowa ya katavi na sumbawanga yeye akanyweya hapo wewe utaniambia nini ilnikuwelewe? Kaka najuwa umependa sana viongozi ndio mana ujajuwa mapungufu yao cdm leo kimehathirika kwa uchaguzi huu bado utaki kutambuwa jipangeni upya mje na maneno ya kutuweleza sio kwa kisa ya kuboresha daftari wala kuibiwa kura tatizo la cdm lipo ndni ya viongozi