BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,015
2016 dhalimu magufuli alikuwa anakubalika kwa 96% 2 years later akaporomoka hadi 55% AKANUNA!!!! Na kumbambikia kesi Eyakuze kwamba si Mtanzania. 41% drop!!!! Ndani ya miaka miwili tu!!!
Aliwateka WAPUMBAVU tu!!! Wasiojitambua.
Aliwateka WAPUMBAVU tu!!! Wasiojitambua.
Kwani utafiti wa twaweza ulifanyika mwaka gani kama siyo 2017 japo sina kumbukumbu vizuri, kipindi hicho watu walikuwa hawajazoea vyuma kukaza, lakini baada ya kuzoea hali ile watu walimkubali sana mwamba ,tena jinsi alivyo handle situation ya covid ndo aliwateka kabisa, wakawa ready kumpa mitano yake amalize miradi yake.
Magufuli hakuiba kura bali alipora uchaguzi kwa kuwa discourage wapiga kuru wa upinzan kwenda kupiga kura baada ya wao kuona rafu za kukatwa kwa wagombea ubunge.