Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,715
- 218,260
Kama ulikuwa hujui basi nakujuza Rasmi kwamba , Chadema haisubiri mwaka upauke, tayari wameanza kwa kasi mipango yao.
Wanachonifurahisha ni kwamba, hawana kiherehere na Mgombea urais wa 2025, wanapanga mambo yao na kukabidhiana majukumu, yale mambo ya sijui ichapishwe fomu 1 ya urais ili kumbeba asiye na uwezo, kwenye chama hiki hakuna, zitachapishwa fomu hata 100 ili mradi kila anayedhani anaweza achukue na kuirejesha.
Habari kamili hii hapa
Wanachonifurahisha ni kwamba, hawana kiherehere na Mgombea urais wa 2025, wanapanga mambo yao na kukabidhiana majukumu, yale mambo ya sijui ichapishwe fomu 1 ya urais ili kumbeba asiye na uwezo, kwenye chama hiki hakuna, zitachapishwa fomu hata 100 ili mradi kila anayedhani anaweza achukue na kuirejesha.
Habari kamili hii hapa