Ninyi ni Chama kikuu Cha upinzani na Chama mbadala wa CCM, kuwa na media yenu itasaidia sana kueneza Sera na elimu mbalimbali kwa wanachama na wananchi. Uenezi wa Chama unahitaji vyombo vya uhakika vya habari.
Ni aibu kwa Chama Kikuu, kikongwe kama hiki, kutoa matamko yake kwenye Twitter huku mkijua wanachi wengi wako vijijini na hawana Access na hivyo vitu.
Kama tulivyochangia uendeshaji wa Kesi ya Mwenyekiti mbowe na matukio mengine, hatushindwi kuchangia na kufanikisha uwepo wa radio na Tv ya Chama, if need be.
Leo vijana wadogo kqma Zamaradi ana Tv, Majizo ana Tv, Why not CHADEMA.
Hili pia linawahisu ACT-Wazalendo.
Ni aibu kwa Chama Kikuu, kikongwe kama hiki, kutoa matamko yake kwenye Twitter huku mkijua wanachi wengi wako vijijini na hawana Access na hivyo vitu.
Kama tulivyochangia uendeshaji wa Kesi ya Mwenyekiti mbowe na matukio mengine, hatushindwi kuchangia na kufanikisha uwepo wa radio na Tv ya Chama, if need be.
Leo vijana wadogo kqma Zamaradi ana Tv, Majizo ana Tv, Why not CHADEMA.
Hili pia linawahisu ACT-Wazalendo.