Kimalingano
JF-Expert Member
- Mar 27, 2023
- 424
- 527
Hongereni.Lakini sisi CCM huwa hatutishiki na hatua za namna hiyo kwa sababu CCM ina mabalozi wa nyumba kumi,viongozi wa tawi na kata ambao wapo hapo hapo.Tulionya mapema sana kwamba , huu mpango wa Chadema wa kusajili watu nyumba kwa nyumba , na huku wengine wakifuatwa hadi mashambani utakuja kuleta mtikisiko , hiki ndicho kilichotokea huko Mbarali .
Kipo chama kinaanza kuweweseka kwamba Chadema Digital isifanyike wakati wa kazi au Week end , sasa wanataka tufanye lini ?View attachment 2831380View attachment 2831381View attachment 2831382View attachment 2831383View attachment 2831384View attachment 2831385View attachment 2831386
Nyinyi mtu anaenda kijijini akitokea mjini anasajili wanachama halafu anaondola kurudi mjini.Baada ya siku mbili waliosajiliwa wote wanarudi nyumbani.