CHADEMA, CCM wachuana matangazo ya Televisheni

CHADEMA, CCM wachuana matangazo ya Televisheni

ccm kwa hapa walipolifikisha taifa letu tunahitaji tu maombi ya mwenyezi mungu. vinginevyo tunaelekea kulekule kama wenzetu wa kenya....
 
Sasa assume nec wataingilia kati na kuamuru TV zirushe mkutano wa ukawa, vepe kuhusu Tanesco?!

"Make kutakua na mgao na matengenezo kwa ajili ya matayarisho umeme wa gethi"
 
Hii ni sawa na kuziba shimo la panya kwa kipande cha mkate. Ccm oyeeee! Kimetobokaaa.
 
Hakika CCM kiboko! Wamehakikisha hakuna chama kingine cha siasa ambacho kitapata nafasi kutumia viwanja vya mikutano kwa sababu wameandaa matamasha mbalimbali kwa muda wote wa kampeni!

Aidha CCM imehakikisha imelipia katika tv zote muda ambao vyama vingine vingetumia kulipia matangazo yao ya kampeni ili wautumie wao!

Sasa sijui sheria inasemaje katika matumizi makubwa ya fedha katika kampeni!

Biashara hiyo. Nilisikia wajivuni humu wakisema Kagame na Uhuru watasapoti ukawa, kwa nini basi msitumie TV Rwanda na KBC? Hizo bado hazijabukiwa
 
Hivi CCM hawajui ku-calculate risk ya baadhi ya actions wanazochukua?

Hawajui kwa upande mwingine wanawaonesha watu hofu waliyonayo juu ya UKAWA?? Chama kikubwa na kikongwe kama hiki kwa nini kiishi kwenye kivuli cha hofu ya "makapi" yake chenyewe??

Nina ndugu yangu huko Tunduma anasema waliahidiwa kuwa atakuwepo Diamond na wahakikishe wanahudhuria kwenye kampeni. Kufika kwenye mkutano hakuna cha Diamond wala Bronze.....

All these are miscalculations ambazo mwisho wa siku zinaweza kuwarudi na kuwaumiza wenyewe maana watatengeneza maswali kwenye vichwa vya watu ambayo watashindwa kuyajibu
 
Mapendekezo ya ratiba ya kampeni na maeneo yatakayotumika na vyama husika si yamepelekwa NEC? Ambao ndio watakaokuwa waratibu. I hope kila chama kinajua lini kitafanya mkutano wapi. Au kupekeka ratiba NEC kunasaidiaje?
 
Hakika CCM kiboko! Wamehakikisha hakuna chama kingine cha siasa ambacho kitapata nafasi kutumia viwanja vya mikutano kwa sababu wameandaa matamasha mbalimbali kwa muda wote wa kampeni!

Aidha CCM imehakikisha imelipia katika tv zote muda ambao vyama vingine vingetumia kulipia matangazo yao ya kampeni ili wautumie wao!

Sasa sijui sheria inasemaje katika matumizi makubwa ya fedha katika kampeni!

"Preaching about Democracy is one thing but Practising it is another thing! As East African Countries members we are witnessing what's going on in Tanzania as they are heading to their General Election; So we are curiously looking forward seeing our best friend and the Presiding Chairman of our Community proving to us how Democracy is Practically adhered in Tanzania so as to differentiate himself from either me or Nkurunzinza!"

Kagame, Paul

SOURCE DW
----------------

Note: This qoutation is from one of JF's posts.​
 
Japo tunadai kwamba tuna-propagate democracy katika nchi zetu(Africa), ila kiuhalisia viongozi wetu ni wanafiki.
Huwezi kudai una-advocate democracy wakati huo huo unaminya opposition movements.
 
Mmmmh,huko tunakoelekea sio,jamani siasa zisitufikishe pabaya nawasihi kina Mama wenye watoto wadogo tulieni nyumbani katika kipindi cha kampeni.
 
Hakika CCM kiboko! Wamehakikisha hakuna chama kingine cha siasa ambacho kitapata nafasi kutumia viwanja vya mikutano kwa sababu wameandaa matamasha mbalimbali kwa muda wote wa kampeni!

Aidha CCM imehakikisha imelipia katika tv zote muda ambao vyama vingine vingetumia kulipia matangazo yao ya kampeni ili wautumie wao!

Sasa sijui sheria inasemaje katika matumizi makubwa ya fedha katika kampeni!
Alaaaaa kumbe ndiyo maana ndugu zangu wako serikalini wananiomba sana hela za mkopo. Wanasema hakuna hela za kazi sijui wanaita OC. Sasa kuanzia sasa siwakopeshi tena mpaka wanieleze kura yao wanampa nani? Ni lazima tuweke kikao . This is too much mtu ameajiriwa lakini anakuwa ombaomba.
 
Sasa assume nec wataingilia kati na kuamuru TV zirushe mkutano wa ukawa, vepe kuhusu Tanesco?!

"Make kutakua na mgao na matengenezo kwa ajili ya matayarisho umeme wa gethi"

Kama huku kwetu tanesco wameshajata umeme
 
Japo tunadai kwamba tuna-propagate democracy katika nchi zetu(Africa), ila kiuhalisia viongozi wetu ni wanafiki.
Huwezi kudai una-advocate democracy wakati huo huo unaminya opposition movements.

mkuu kwa afrika hakuna demokrasia zaidi ya uchafuzi wa demokrasia...
 
Katika mwendelezo wa kuibaka demokrasia zipo tetesi zimezagaa mtaani na kwenye vyanzo vya uhakika kuwa,Baada ya zoezi la kudhibiti uwanja wa jangwani usitumike kuzindua kampeni za Ukawa kushindikana.
Sasa Ccm wanahaha kila kona kuhakikisha uzinduzi huo unaotarajiwa kuwa wa kihistoria haurushwi na television yoyote ile nchini.
Tetesi zilizopo ni kuwa Ccm wamewalipa walimiki wote wa Television nchi kwa siku hiyo pesa nyingi sana.Kwa maana hiyo hata kama Ukawa watapeleka fedha kulipia matangazo ya moja kwa moja watajibiwa kwa muda huo wapo watu wengine washalipia na haitowezekana kuwa Live
Na hii imefanyika kwa zile kampuni kubwa kama IPP,SAHARA MEDIA NA AZAM TV
Huu ni muda wa wapenda mabadiliko kushikamana na kumtegemea mungu zaidi.
 
Back
Top Bottom