Nawata yakubali mamzi ya watanzania ifikapo oct25
We unaambiwa mwenzako kashabook kwa sababu serikal mnayo eti na nyny mnajifanya mnataka,...mnadhani mtashinda kwa dhuluma zenu?,uwanja wa taifa mmegoma,jangwani mmezingua na kwenye TV mnazingua wabongo tunawacheki tu nahata wana CCM wasiopenda dhuluma hawafurahishwi na upuuzi huo....ila upinzani ni watu wenye akili sana na ndo maana wanawanyima usingizi,hamtaamini kitakachotokea mbna.
Kwani hawa CCM si wana Tv station zao, TBC na Star Tv???
suala la kurusha matangazo ni biashara pale...na mkataba uliopo kwa siku hiyo na kwa muda huo...mimi ninachoona hapa vyote ni propaganda tu.....
lengo hapo ni kuwawekea zengwe wapinzani hakuna zaidi ya hapo...
We unaambiwa mwenzako kashabook kwa sababu serikal mnayo eti na nyny mnajifanya mnataka,...mnadhani mtashinda kwa dhuluma zenu?,uwanja wa taifa mmegoma,jangwani mmezingua na kwenye TV mnazingua wabongo tunawacheki tu nahata wana CCM wasiopenda dhuluma hawafurahishwi na upuuzi huo....ila upinzani ni watu wenye akili sana na ndo maana wanawanyima usingizi,hamtaamini kitakachotokea mbna.
Acheni kusingizia kila uongo kwa ccm. ITV ni wafanyabiashara, anayelipa ndiye anapewa airtime, mwambieni Mbowe awagawie wenzake mgao wa mabilioni ya Lowasa ili kampeni zenu zichangamke sio kujifanya kuminya hela na kuwadanganya wenzake eti anayetia saini (katibu mkuu) hapatikani wakati yupo tu! Hela hawanaaa! Zote kachikichia Mbowe, Msilete visingizio.
UKAWA mnaboa sana. Mnaomba uwanja wa taifa kwa ajili ya kampeni? Mnaomba uwanja wajangwani wiki moja kabla? Sasa mnalialia eti mmezuiwa kutumia TV kwenye uzinduzi, kwani mmejipangaje? Mwishowe tunaanza kukuchokeni. Sababu za kitoto toto tu, hamjiamini. Hiyo ikulu mtaiweza kweli? Haya andamaneni kwenda TCRA au the Hague
HAPANA.Matangazo yanalipiwa.Leo baadhi ya TV watarusha live mkutano wa EDo na vikundi vya akina mama Millenium tower saa 9 mchana
Gor kuwa na hekima na akili. UKAWA walishapatana(Malipo, Kanuni, Muda, Mahali na Siku ya kurusha matangazo yao) na vituo kadhaa vya Television(ITV, Star Tv nk) sasa baadaye tena CCM wakaibuka tena kwenda kushawishi na kushnikiza vituo hivyo visirushe matangazo hayo bali virushe matangazo ya CCM mkoani Mbeya!
Tafuta gazeti la Mwananchi la leo then utasoma vizuri.