CHADEMA, CCM wachuana matangazo ya Televisheni

CHADEMA, CCM wachuana matangazo ya Televisheni

Nchi hii ina television moja? Na hao ccm wamelipia TV station zote siku hiyo? Mambo mengine mkiambiwa basi changanyeni na zenu

Kweli kabisa. Ukawa ni walalamishi kila wakati na wanataka kura za huruma.
 
Kweli huu utoto sasa.Kwani TV zinarusha bure matangazo haya?TV zipo nyingi,nyie wanasiasa mnatuvurga bwana

Mkuu unategemea channel gan ya kurusha matangazo kwa ubora ya live zaid ya itv, azam 2 na star tv??
 
http://bible.com/406/pro.10.4-32.erv Lazy hands will make you poor; hard-working hands will make you rich. Wealth protects the rich, but poverty destroys the poor. A person who talks too much gets into trouble. A wise person learns to be quiet. Sending a lazy person to do anything is as irritating as vinegar on your teeth or smoke in your eyes. Good people know the right things to say, but the wicked say things to make trouble.
 
kweli nyie mna matatizo mnatengeneza mazingira ili mpate kura za huruma kwani television iko moja?
 
Kakupa source, kwa nini usinunue gazeti ujisomee!
Kama watu walipinga muswada wa kuzuia vyombo vya habar kuonyesha taarifa za habari zao saa mbili asubuhi na Mengi ndio alikuwa wa kwanza kupinga leo watakubali waingiliwe katika majukumu yao hayo? Hapo lazima itakuwa Ukawa walichelewa kupeleka hayo maombi wakakuta tayari CCM imeshaweka oda ndio ikashindikana sio wamezuiliwa hizo ni propaganda za kitoto
 
Haaaaaa! Kama wamefikia hapo basi hili ni tatizo serious.
Ila bado hakijaharibika kitu, watuzuie na kwenda jangwani basi?

Ikibidi had I huko hahaha WAZALENDO TUSIE NA MBWEMBWE TUNAPETA
 
Ninachoona hapa ni kuwa ukawa wamekuwa Wajanja zaidi ya ccm, baada ya uzinduzi wa ccm keshoye jamaa kaibukia kwenye dala dala aka draw attention ya media na kupunguza mwangwi wa ccm.
CCM wanahaha kweli mwaka huu... ITV wataonyesha wala hakuuna shida..Wao waendelee na TBC kama ilivyo kawaida yao
 
Tutawanyonyoa magambaz this year kwa maji baridiiiii. Maumivu yake sasa usipimeee. Ukawa bhana ni intelligent kweli maana wanawatanguliza magambaz kisha wanapiga kimoja tu magambaz hoi . Mara wanarukia kufunga viwanja, kuzuia watu kwenda sokoni, kufungia watu wasi watch news, nk. Hayo ni maumivu ya kunyonyolewa na bado. Lowassa baba wanyo nyo we taratiiibu maana uwezo wao kufikiri umefikia mwisho wamebakia kutukana hovyohovyo.
 
Hakika CCM kiboko! Wamehakikisha hakuna chama kingine cha siasa ambacho kitapata nafasi kutumia viwanja vya mikutano kwa sababu wameandaa matamasha mbalimbali kwa muda wote wa kampeni!

Aidha CCM imehakikisha imelipia katika tv zote muda ambao vyama vingine vingetumia kulipia matangazo yao ya kampeni ili wautumie wao!

Sasa sijui sheria inasemaje katika matumizi makubwa ya fedha katika kampeni!
 
Hakika CCM kiboko! Wamehakikisha hakuna chama kingine cha siasa ambacho kitapata nafasi kutumia viwanja vya mikutano kwa sababu wameandaa matamasha mbalimbali kwa muda wote wa kampeni!

Aidha CCM imehakikisha imelipia katika tv zote muda ambao vyama vingine vingetumia kulipia matangazo yao ya kampeni ili wautumie wao!

Sasa sijui sheria inasemaje katika matumizi makubwa ya fedha katika kampeni!

Hili la Matamasha Polisi na Tume ya Uchaguzi wakilifumbia macho watakuwa wa Kwanza kufika mble ya ICC.
Wana muziki wanaotumiwa kwa kazi hii wantakiwa kuwa makini maana wanaishi na jamii mchanganyiko-kutumika kwao hata kama nikulipwa pesa wanatakiwa kujitambua madhara yatokanayo.

 
Hili la Matamasha Polisi na Tume ya Uchaguzi wakilifumbia macho watakuwa wa Kwanza kufika mble ya ICC.
Wana muziki wanaotumiwa kwa kazi hii wantakiwa kuwa makini maana wanaishi na jamii mchanganyiko-kutumika kwao hata kama nikulipwa pesa wanatakiwa kujitambua madhara yatokanayo.


Acha kutishia nyau
 
Wachukue na card za kupigia kura!! Maana hata bila kampeni wanakula chaka!! Mwaka huu watajuta! Wasubiri waone!!ukawa hata wasipofanya kampeni , kura zote zao
 
Hakika CCM kiboko! Wamehakikisha hakuna chama kingine cha siasa ambacho kitapata nafasi kutumia viwanja vya mikutano kwa sababu wameandaa matamasha mbalimbali kwa muda wote wa kampeni!

Aidha CCM imehakikisha imelipia katika tv zote muda ambao vyama vingine vingetumia kulipia matangazo yao ya kampeni ili wautumie wao!

Sasa sijui sheria inasemaje katika matumizi makubwa ya fedha katika kampeni!
NEC inaendeshwa na chama tawala lakini ipo siku basi wanunue na magazeti,wafunge mitandao ya kijamii ili wabaki wao na kuendeleza propaganda kuwa wamejitoa. Naona kura za huruma kwa ukawa zinakuja
 
Ndio maana lowassa alisema huwezi kuzuia mafuriko kwa mikono hii yote ccm wanafanya ni kuogopa mafuriko
 
Back
Top Bottom