CHADEMA, CCM wachuana matangazo ya Televisheni

CHADEMA, CCM wachuana matangazo ya Televisheni

hili la ukawa kila mpenda haki analaani hata wanaccm wenyewe wanasema ccm kama inajidai kukubalika kwa wananchi ingeacha mambo yangekuwa huru. ili hatimae wananchi waamue kwenye sanduku la kura...ccm inapendelewa na dola...

Hapana sasa hii too much! TV stations zipo za kutosha si waongee na Azam TV basi
Watakuwa hawajalipia matangazo yaliyopita ndiyo maana. Waache kuwachafulia TV stations eti wameminywa na CCM .. walipe bili zao! Oho watakuja kuumbuliwa!
 
Hata wafanyeje wasubiri hasira za watanzania wanaojielewa; sio wale ambao wako lindi la umasikini na wanawapa wali; kesho yake wanawapa kura, ni dharau kubwa sana!!
basi oktoba 25,tufanye tathmini tusiojielewe na mnaojielewa tuko wangapi,
 
mi nilichosikia ni kwamba wanazuiwa kuzindua campain kufanyikia viwanja vya jangwani et kwa sababu siku iyo shughuli za ccm zitakua zinaendelea pia...gazeti la leo asubuhi limesema ivo ila halijaongelea habari za tv kuzuia,

ccm inapaswa kulaaniwa sana kwa huu uhujumu wanaouendeleza. hili halikubaliki kokote...
 
Gor kuwa na hekima na akili. UKAWA walishapatana(Malipo, Kanuni, Muda, Mahali na Siku ya kurusha matangazo yao) na vituo kadhaa vya Television(ITV, Star Tv nk) sasa baadaye tena CCM wakaibuka tena kwenda kushawishi na kushnikiza vituo hivyo visirushe matangazo hayo bali virushe matangazo ya CCM mkoani Mbeya!
Tafuta gazeti la Mwananchi la leo then utasoma vizuri.

Hivi kwa akili ya kawaida CCM inaweza kwenda ITV na kuwaambia musirushe mkutano wa UKAWA? kwa sheria hip?
 
Last edited by a moderator:
Kwa hii ccm ya sasa, inawezekana kabisa, ni mazuzu mno
1.angalia mkapa alivyoongea kama muhuni tu wa mtaani
2. Angalia kada wao pole pole mambo anayoongea, wanaopinga katiba wamehama, wakati mgombea mwenza wa ccm alikuwa makamu mwenyekiti wa BMK
3.angali vituko vya polisi, mamlaka ya anga, mkurugenzi wa ilala
4. Angalia type za wasanii wanaowaunga mkono

hapa tulipofikia jumuiya ya kimataifa inapaswa kuingilia kati kwa uhuni huu unaoendelea. chini ya ccm hii kuendesha uchaguzi huru na haki ni ndoto...
 
Hivi toka umepata akili ulishasikia chama cha siasa kimefanya mkutano uwanja wa Taifa? TV station zetu karibu zote zinapatikana nchi nzima, hebu tutajie TV gani ambayo ccm wamezuia tuone, hebu tokeni kwenye kundi la nyumbu fungueni akili zenu japo kidogo tu muyaone mambo kwa uwazi,
CCM imefanya mikutano mingi sana uwanja wa Taifa, toka kipindi cha TANU ya Nyerere tunapata uhuru mpaka CCM ya Kikwete shughuli za CCM kadhaa zimekuwa zikifanyika pale.

Sio kweli kabisa kuwa Tv zote zinaonekana nchi nzima na sio zote zina uwezo wa kurusha matangazo ya moja kwa moja(Live) kwa uhakika na Ufasaha. Baadhi ya vituo vilivyokuwa tayari vimepatana na UKAWA ni ITV, Star Tv nk.
 
Hapana sasa hii too much! TV stations zipo za kutosha si waongee na Azam TV basi
Watakuwa hawajalipia matangazo yaliyopita ndiyo maana. Waache kuwachafulia TV stations eti wameminywa na CCM .. walipe bili zao! Oho watakuja kuumbuliwa!

Azam TV ni FTA? Jipange?
 
Ndugu zangu kuiondoa ccm chama dola si kazi ndogo,na ukombozi wowote ule lazma upitie haya yote na kuyashinda,hakuna lelemama hapa,ukawa lazma wakomae na kutumia kila mbinu ili waweze kufikia idadi kubwa ya wapiga kura
 
Kama fitna ndogo ndogo kama hizi za vituo vya TV huyo Edo anashindwa mpaka kuja kulialia hapa, ataweza fitna za ccm kwenye wizi wa kura? Hamjajiandaa kabisa kuiondoa ccm kama ndio hivi, yeye anaishi dar fitna zote zinafanyika dar na yeye kila fitna anapigwa chini kuna nini zaidi?

haa haa bila ccm kuondoka nchi yetu kwenye suala la amani na haki itakuwa ni kitendawili...
 
Hapana sasa hii too much! TV stations zipo za kutosha si waongee na Azam TV basi
Watakuwa hawajalipia matangazo yaliyopita ndiyo maana. Waache kuwachafulia TV stations eti wameminywa na CCM .. walipe bili zao! Oho watakuja kuumbuliwa!

haa haa tatizo la watanzania wengi ni uwezo wa kulifuatilia jambo kwa undani. ccm ni chama dola hutumia mamlaka kadhaa ili watoe maamuzi ya kuwabeba wao...
 
Wanajisumbua, wanachopanda sasa ni chuki.. Kuchukia ccm. Mimi nitaapiza watoto wangu wakiipenda ccm wapate laana!
 
Matatzo waga hatafuti mtu Bali matatizo huyatafuta bina dam ccm wanatafuta matatizo tena makubwa sana.
 
hili la ukawa kila mpenda haki analaani hata wanaccm wenyewe wanasema ccm kama inajidai kukubalika kwa wananchi ingeacha mambo yangekuwa huru. ili hatimae wananchi waamue kwenye sanduku la kura...ccm inapendelewa na dola...

TV ni biashara wewe, acha kulialia. Kila mkiharibu jambo, CCM. Mchelewe kuomba uwanja CCM, mchelewe kuomba airtime kwenye tv stations, CCM, Lowassa kutozijua kero za wananchi mpaka apande daladala, CCM. Tumewachoka na malalamiko ya kitoto.
 
Back
Top Bottom