CHADEMA bwana

CHADEMA bwana

<b> ni kujue wa nini for what? Never sitaki kukujua. Nijue mtu fake?</b>
<br />
<br />

Umetoka nje ya mada uliyoanzisha mwenyewe umeanza mipasho. Kama rais wako. Mods anzisheni jukwaa la watoto
 
Bebii unanifurahisha naona unaangusha moja moja kama vile unacheza Wrestling
 
mashauzi ya nini dada yangu hata kama umesoma havard hainisaidii? Sory kwanza nipotezee
<br />
<br />
NAKOMAA MPAKA MWISHO, HAKUPOTEZEI MTU WALA NINI! TUNABANANA HAPAHAPA!!!! HAKUNA HAVARD WALA MTAKUJA PR SCHOOL! WALA CHA MAGAMBA NA SHULE ZA KATA!
 
<br />
<br />
nakomaa mpaka mwisho, hakupotezei mtu wala nini! Tunabanana hapahapa!!!! Hakuna havard wala mtakuja pr school! Wala cha magamba na shule za kata!
pasua screen basi
 
ni kujue wa nini for what? Never sitaki kukujua. Nijue mtu fake?

Mtoto yake nepi au hizi pamba walizoleta wazungu za kuficha uchafu nzitonzito,hawezi kutambua fikra pevu,maana ni dot com.tuishie hapo ukimfukuza kichaa alikuvua nguo na wewe utaonekana..................
 
mtoto yake nepi au hizi pamba walizoleta wazungu za kuficha uchafu nzitonzito,hawezi kutambua fikra pevu,maana ni dot com.tuishie hapo ukimfukuza kichaa alikuvua nguo na wewe utaonekana..................
wewe una fikra pevu wewe?
 
Jamani msameheni huyo bebii mwelimisheni tu aelewe,bebii uko darasa la ngapi? Au la tano? usijali zingatia sana masomo darasani utakuja kuelewa faida ya vyama.
 
jamani msameheni huyo bebii mwelimisheni tu aelewe,bebii uko darasa la ngapi? Au la tano? Usijali zingatia sana masomo darasani utakuja kuelewa faida ya vyama.
wewe unaelewa nini kwani si upo upo tu? Nini mnafanya la maana zaidi ya makelele ya kuuza magazeti?
 
Jamani msameheni huyo bebii mwelimisheni tu aelewe,bebii uko darasa la ngapi? Au la tano? usijali zingatia sana masomo darasani utakuja kuelewa faida ya vyama.
<br /> <br / kabebii bd kako kwny hatua ya kukaa hakajaweza ht kutambaa bd safari ndefu hd katembee,
 
Back
Top Bottom