CHADEMA Asilia wafanya kweli Manyara

CHADEMA Asilia wafanya kweli Manyara

Mabadiliko lazima

Kweli lazima
Haiwezekan wenzetu ccm kila baada ya miaka kumi wanapata mwenyekiti wa chama mpya
Ss hatujawahi kuchagua kila siku mzee mtei anatuchagulia tu
Tumechoka chadema tunataka mabadiliko
Na demokrasia ndan ya chama
 
Ndio maana Mh. Lowasa anasema kipaumbele cha kwanza Elimu, cha pili elimu, cha tatu elimu, ni kweli kabisa maana kuna watz hadi leo hawajitambui mf. Baadhi ya watu humu jf…. Isitoshe kuendelea kuropoka eti Lowasa mwizi, fisadi ana udini,unapoteza tu mda wako,hizo nyimbo watz hawasikilizi tena, kaa tu kimya km huna kitu kingne cha kupost download game ucheze!
 
Mgombea urais kupitia chadema, Mh Lowasa amejikuta tena katika wakati mgumu baada ya mamia ya vijana wanaojiita Chadema asilia, kutaka mgombea huyo asisimame kuhutubia kwani makandokando yake yanajulikana, hata hivo hali ilizidi kuwa ngumu walipoza sauti za kuzomea wakimtaja FISADI! FISAD! FISADI! Wengine wakimtaja Dr Slaa.

uchizi unakuanza wai hospital
 
Mgombea urais kupitia chadema, Mh Lowasa amejikuta tena katika wakati mgumu baada ya mamia ya vijana wanaojiita Chadema asilia, kutaka mgombea huyo asisimame kuhutubia kwani makandokando yake yanajulikana, hata hivo hali ilizidi kuwa ngumu walipoza sauti za kuzomea wakimtaja FISADI! FISAD! FISADI! Wengine wakimtaja Dr Slaa.

I feel sorry for Mzee Mwanakijiji.
 
Mgombea urais kupitia chadema, Mh Lowasa amejikuta tena katika wakati mgumu baada ya mamia ya vijana wanaojiita Chadema asilia, kutaka mgombea huyo asisimame kuhutubia kwani makandokando yake yanajulikana, hata hivo hali ilizidi kuwa ngumu walipoza sauti za kuzomea wakimtaja FISADI! FISAD! FISADI! Wengine wakimtaja Dr Slaa.
Manyara ipi unayoizungumzia na hii ninayoifahamu mimi au ni manyara ya lumumba. Kama ni manyara hii ya kwetu hata mtoto mdogo ukimuliza atakwambia rais ni lowasa. walimu na madkari wa hapa wapo mstari wa mbele kumuunga mkono lowasa pia usiwasahau watumishi kada zingine na kwa ujumla wanachi wote hapa tunamkubali lowasa embu angali hapo mafuriko ya babati manyara haijawahi tokea katika historia ya babati
 
Mgombea urais kupitia chadema, Mh Lowasa amejikuta tena katika wakati mgumu baada ya mamia ya vijana wanaojiita Chadema asilia, kutaka mgombea huyo asisimame kuhutubia kwani makandokando yake yanajulikana, hata hivo hali ilizidi kuwa ngumu walipoza sauti za kuzomea wakimtaja FISADI! FISAD! FISADI! Wengine wakimtaja Dr Slaa.

Umesimuliwa, niulize niliyekuwepo nikusimulie vzr. Hakuna hiyo pumba yako
 
Mgombea urais kupitia chadema, Mh Lowasa amejikuta tena katika wakati mgumu baada ya mamia ya vijana wanaojiita Chadema asilia, kutaka mgombea huyo asisimame kuhutubia kwani makandokando yake yanajulikana, hata hivo hali ilizidi kuwa ngumu walipoza sauti za kuzomea wakimtaja FISADI! FISAD! FISADI! Wengine wakimtaja Dr Slaa.

Mnang'ang'ana kutengeneza mpasuko ndani ya chadema mmeshindwa .hakuna kitu kama chadema asili wala chadema sijui ipi.CHADEMA ni moja na tutaendelea kuwa wamoja.uongo na uzushi havitasaidia hicho chama chako.sisi tunasonga mbele na ajenda yetu yakumkomboa mtanzania toka kwenye mikono ya hilo kupe ccm.HONGERA LOWASA hongera CHADEMA kwa ushindi mkubwa 25/10/2015.
 
Mzee atakatwa tu,hakuna huluma

Lazima tumkate tu, alikatwa na CCM hakuridhika sasa hivi ni zamu yetu Watanzania kumkata lowassa. Subiri uone tarehe 25 October tutakavyomkata. #HapaKaziTu Chagua MAGUFULI.
 
mgombea urais kupitia chadema, mh lowasa amejikuta tena katika wakati mgumu baada ya mamia ya vijana wanaojiita chadema asilia, kutaka mgombea huyo asisimame kuhutubia kwani makandokando yake yanajulikana, hata hivo hali ilizidi kuwa ngumu walipoza sauti za kuzomea wakimtaja fisadi! Fisad! Fisadi! Wengine wakimtaja dr slaa.

haya hayo ndiyo mabadiliko,unaweza kuwalaghai watu ila huwezi ukawalaghai siku zote nawapongeza sana wana wa manyara kwa kuungana na mimi katika kumkataa fisadi papa lowassa kwa sababu ana dna za ufisadi na dhuluma za mali za watanzani na tumefika hapa tulipo kwa mchango wake
 
Back
Top Bottom