CHADEMA Asilia wafanya kweli Manyara

CHADEMA Asilia wafanya kweli Manyara

Safi sana wote mnaobandika picha bora kwenye nyuzi kama hizi, maana mimi nikuona uzi dizaini hii kutoka kwa wageni wa jamvi, huwa nabonyeza straight kwenye picha nikiona hakuna ushahidi napita kimya kimya
 
Lumumba mmeamua kujiita Chadema asilia.hawa ndio wanaomuunga mkono NESI wa Mihogo? Wala hamjulikani mlipo gharika ya Lowassa imewakumba wote.
 
Safi sana wote mnaobandika picha bora kwenye nyuzi kama hizi, maana mimi nikuona uzi dizaini hii kutoka kwa wageni wa jamvi, huwa nabonyeza straight kwenye picha nikiona hakuna ushahidi napita kimya kimya

Unapenda picha?
Haha
Humu sio instagram
Humu ni hoja kwa hoja
Picha peleka insta
 
Hiyo tabia viongozi wa cdm ndoo waliwafundisha wafuasi wao. Lkn itakuja kuwa Sugu na itawasumbua wao wenyewe viongozi wa cdm. Wewe subili cdm ishidwe utayaona matokeo yake . mbowe hawatomuelewa kwa kumtosa slaa na kumleta lowassa

Hivi Slaa ni nani nchi hii? Msaliti alietuacha tulipokaribia kwenye ukombozi kwa malipo ya vipande vya fedha? tulimuheshimu sn lakini sasa tumempuuza akae awe mtazamaji.
 
Ulilipwa pesa yako ya kuzimia kule tanga?

Hivi CCM wale mliowaalika Dodoma wazimie kwa kuwapa elfu 30 wahakukidhi vigezo? Niliwaona wakigala gala bila msaada. CCM mwaka huu kimenuka.
 
Unapenda picha?
Haha
Humu sio instagram
Humu ni hoja kwa hoja
Picha peleka insta
Kupenda picha sio issue mkuu, cha muhimi ni kwamba yanayobandikwa kwenye jamvi humu ni mengikuna ya kweli na ya uzushu, kuna ambayo ni hoja na yatajibiwa na hoja, na kuna yanayohitaji ushahidi kama hili la kwenye huu uzi
 
na naamini tar 25 watanzania tutajitokeza kwa wingi na kumpigia kura za hapana na kumpa magufuli kura za ndiyo,hatutaki kiongozi ambaye ni chachu ya udini,ukabila na ukanda,kiongozi ambaye yy ndiye anaongoza kwa kuwagawa watanzania,kiongozi asiyetaka umoja wa kitaifa ila yupo kwa ajili ya maslahi yake binafsi na marafiki zake....................lowaassa tunaye muongelea kila mtu anajua ni nani,fisadi,mzee wa scotland yard,mzee wa kuvamila ardhi...mchochezi wa migogoro kati ya wakulinma na wafugaji...mzurumishi wa reli ya kati ili kuendeleza kampuni yake ya usafirishaji,kukwepa kodi vodacom tanzania via shivacom alipoiba bilion 6500 na kukwepa kodi tra ya bilion120.....n.k..n.k

Naona unaongea kwa kushupaa mikono na vidole kuandika ujinga.umeambiwa weka picha tuone hiyo zomea zomea.cha ajabu Manyara ilikuwa ni gharika. Lowassa ana nyota kali isiyozimika kwa kukejeli matusi wala kumdhihaki.
 
Lumumba wanatumia kila mbinu zote zinabuma wamebaki kulia lia kama maduanzi simbilisi nyie
 
Mgombea urais kupitia chadema, Mh Lowasa amejikuta tena katika wakati mgumu baada ya mamia ya vijana wanaojiita Chadema asilia, kutaka mgombea huyo asisimame kuhutubia kwani makandokando yake yanajulikana, hata hivo hali ilizidi kuwa ngumu walipoza sauti za kuzomea wakimtaja FISADI! FISAD! FISADI! Wengine wakimtaja Dr Slaa.

Ndio madhara yq kujichungulia nyeti haya..
 
Acha unafiki
KuFeel sorry kwa mwanakijiji anaetetea taifa kwa kuzuia fisadi lisiende ikulu kuifilis nchi yetu
Badala ya kufeel sorry kwa lowasa anaejinyea hovyo na bdo hatopata nchi

Viva magufuli viva

Hivi nyie mnaomuita Lowassa fisadi kunafisadi kama huyo alieko Ikulu kwa sasa. Mmeshauzwa hamjitambui gas na rasilimali zetu wameuziwa wachina. Ndio maana mna haha chama kingine kisiingie Ikulu kujua siri zenu.
 
Mzee lowasa utavuna ulichopanda, hapo bado hujaanza kutumikia kifungo

Kifungo gani mkuu??mwaka wa 8 tangu kaachia uwaziri mkuu hakuna aliempeleka mahakamani kwasababu ushahidi hakuna.Ndiyo maana kuna siku alisema if you dont have evidence shut up your mouth.
 
Kupenda picha sio issue mkuu, cha muhimi ni kwamba yanayobandikwa kwenye jamvi humu ni mengikuna ya kweli na ya uzushu, kuna ambayo ni hoja na yatajibiwa na hoja, na kuna yanayohitaji ushahidi kama hili la kwenye huu uzi

Kuna vitu vnafanyika kimya kimya kupata picha n ngumu
Kama la lowasa alivyojinyea huko geita
 
Hivi nyie mnaomuita Lowassa fisadi kunafisadi kama huyo alieko Ikulu kwa sasa. Mmeshauzwa hamjitambui gas na rasilimali zetu wameuziwa wachina. Ndio maana mna haha chama kingine kisiingie Ikulu kujua siri zenu.

Nalia na alieruhusu viwanda vya konyagi kujengwa hapa nchini na viroba

Sasa ufisadi wa kikwete nnn?
Ameshtakiwa bungen?
Kuna uthibitisho wowote?
Kuna sehem katajwa labda kwenye documents zozote?

Kuwa makin dada
 
Natamani itakuja siku itokee Govinda ataamua kujionyesha hadharani kuwa yeye sio govinda.
 
Hiyo yote ni mipang ya CCM na hao vijan wameandaliw na CCM na wengin nipo ap Iringa CCM wanapang mpang eti wawahonge vijan wabeb mabang yasemay wanahamia ACT duuu kazi mnayo
 
Mapirobe naomba ufafanuzi manyara kama mkoa au manyara kama kijiji kilichopo wilaya ya karatu.naomba kuwasilisha
 
Mapilobe wacha uongo usio na maana hapa Babati hakuna cha CHADEMA asilia wala nini!!
Mhs Lowasa alihutubia watu walifulika, haijapata kutokea Bbt!!
Watu full mzuka hakuna lizombe wala Daimon, peleka uongo Lumumba uliko tumwa!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom