CHADEMA Asilia wafanya kweli Manyara

CHADEMA Asilia wafanya kweli Manyara

Huo ni ulimbukeni wa kisiasa kama mtu humpendi acha kwenda kwenye mikutano wake. Kuandaa mikutano ni ghalama . hivi ushamba wa nini

Ni kweli mkuu uyasemayo,Lakini unakumbuka zomea zomea aliyokuwa anafanyiwa Zitto na ile vidio clip iliyokuwa inamzomea maguful huko Mbeya.

Unapokemea jambo inakupaswa nawe pia usilifanye.
 
mwambieni dr.mohogo avae kabisa kijani aje kwenye kampeni.........hahah
marafiki wametupa pesa tutajenga shule na hospital...........hah hah hah

Hahaaa labda hosp ya kutibu walioathirika na mkorogo wa bei rahisi
 
Kwa hiyo wanataka kuongozwa na nani asiye fisadi?
 
Acha kudanganya umma kwani mimi mwenyewe nilikuwepo uwanjani na nilichoshuhudia ni mapokezi ya kishindo kwa Lowasa.Babati yote ilizizima kuja kumsikiliza Raisi.

Huyo atakua josephine mshumbusi mke wa dk mihogo
 
Hiyo tabia viongozi wa cdm ndoo waliwafundisha wafuasi wao. Lkn itakuja kuwa Sugu na itawasumbua wao wenyewe viongozi wa cdm. Wewe subili cdm ishidwe utayaona matokeo yake . mbowe hawatomuelewa kwa kumtosa slaa na kumleta lowassa
 
sina shaka kati ya majina 2ya mgombea urais wa ccm moja umelitumia kupita kiasi.kutumia jina ili kupta kiasi ni HATARI.
 
Duh Mzee Mwanakijiji ame like huo utumbo?
Au like inamaanisha nini humu jamvini?
 
Wanamfurahisha boss wao. .....

Buku 7, hawataki hata kuchanganya na za kuambiwa. ...

Ukiona mafiesem wanakutaja sana jua hali yao tete.....2015 wataondoka wa watz wamechoka na ahadi zao kila mwaka ambazo hazionekani.....zaidi y familia zao kuneemeka n ufisadi jpm nae fisadi papa kala 265bn za tanroad
 
Mgombea urais kupitia chadema, Mh Lowasa amejikuta tena katika wakati mgumu baada ya mamia ya vijana wanaojiita Chadema asilia, kutaka mgombea huyo asisimame kuhutubia kwani makandokando yake yanajulikana, hata hivo hali ilizidi kuwa ngumu walipoza sauti za kuzomea wakimtaja FISADI! FISAD! FISADI! Wengine wakimtaja Dr Slaa.

Naona vijana uzalendo umeanza kuwarudia
Safi sana

Fisad hafugiki
 
Acha kudanganya umma kwani mimi mwenyewe nilikuwepo uwanjani na nilichoshuhudia ni mapokezi ya kishindo kwa Lowasa.Babati yote ilizizima kuja kumsikiliza Raisi.

Ulilipwa pesa yako ya kuzimia kule tanga?
 
Back
Top Bottom