na naamini tar 25 watanzania tutajitokeza kwa wingi na kumpigia kura za hapana na kumpa magufuli kura za ndiyo,hatutaki kiongozi ambaye ni chachu ya udini,ukabila na ukanda,kiongozi ambaye yy ndiye anaongoza kwa kuwagawa watanzania,kiongozi asiyetaka umoja wa kitaifa ila yupo kwa ajili ya maslahi yake binafsi na marafiki zake....................lowaassa tunaye muongelea kila mtu anajua ni nani,fisadi,mzee wa scotland yard,mzee wa kuvamila ardhi...mchochezi wa migogoro kati ya wakulinma na wafugaji...mzurumishi wa reli ya kati ili kuendeleza kampuni yake ya usafirishaji,kukwepa kodi vodacom tanzania via shivacom alipoiba bilion 6500 na kukwepa kodi tra ya bilion120.....n.k..n.k