CHADEMA Asilia wafanya kweli Manyara

CHADEMA Asilia wafanya kweli Manyara

Mada za siku hizi bhana.....!!!

Mtu anatoka kushikwashikwa na kupuyangwa na mumewe bila hata kuuosha maungo yake mbiooooooooo Jf kuanzisha thread..!!! Kama huyu hapo na mada yake... kamuhudumia mumewe, mbiooooooooo chooni, katoka kuhara huko, mbiooooooooo Jf bila hata kunawa mikono, kakalia keyboard anaandika Mada hapa..!!

Ukimuuliza anakimbilia wapi? hivi anajibu la kutoa?

BACK TANGANYIKA

hahahhahaha
 
UVFISIEM katika UBORA wenu. Kazi ni Kujitekenya na kucheka wenyewe, Lowasa amewakaa akilini mpaka mnamsahau Makomeo? Mbona kazi ni kumpigia Lowassa tu kampeni kwenye mtandao? Vipi Makomeo hauziki nini au ndio siasa za majitaka aka siasa za Lumumba. Hii ndio FISIEM tuliipenda sana lakini SHETANI ALIWAPENDA ZAIDI. REST IN PEACE CCM.
 
Ukawa ni aina ya dawa inatibu na
kutokomeza ugonjwa wa CCm na
kukuwezesha kupata kinga ya
mwili aina ya mabadiliko...
 
Mapirobe umepewa hela ngapi na mafisemu useme urongo? televisheni zote zimetuonyesha umati wa watu na mheshimiwa wetu akihutubia kwa amani na hazijasema kuwa kulikuwa na chadema asilia leo wewe unatuletea urongo humu kwenye uzi unafikiri tutakuamini? badilika au kawadanganye mafisiemu wenzako
Mgombea urais kupitia chadema, Mh Lowasa amejikuta tena katika wakati mgumu baada ya mamia ya vijana wanaojiita Chadema asilia, kutaka mgombea huyo asisimame kuhutubia kwani makandokando yake yanajulikana, hata hivo hali ilizidi kuwa ngumu walipoza sauti za kuzomea wakimtaja FISADI! FISAD! FISADI! Wengine wakimtaja Dr Slaa.
 
hii wala haitawasaidia akina Mwanakijiji... at most watasababisha vurugu kwenye mikutano, which is something UKAWA can do better because majority ya vijana wa kitaa wako UKAWA

Msisherehekee sana haya halafu mkarudi kwenu detroit na kuacha watu wanatoana ngeu

CC: Mzee Mwanakijiji

Are you serious? hukusikia Magufuli naye alizomewa? au mnafikiri wengine hawana midomo ya kuzomea? Hiyo mikwara ya "vijana wa kitaa" haina msingi.

Zomea ni siasa za watu walioshindwa hoja.
 
Mgombea urais kupitia chadema, Mh Lowasa amejikuta tena katika wakati mgumu baada ya mamia ya vijana wanaojiita Chadema asilia, kutaka mgombea huyo asisimame kuhutubia kwani makandokando yake yanajulikana, hata hivo hali ilizidi kuwa ngumu walipoza sauti za kuzomea wakimtaja FISADI! FISAD! FISADI! Wengine wakimtaja Dr Slaa.
Safi sana. Lowassa ni FISADI mpaka kwenye damu.
 
Are you serious? hukusikia Magufuli naye alizomewa? au mnafikiri wengine hawana midomo ya kuzomea? Hiyo mikwara ya "vijana wa kitaa" haina msingi.

Zomea ni siasa za watu walioshindwa hoja.
Mkuu nililaani kuzomewa kwa magufuli humuhumu... more than once.... and Yes, I am serious

So are you supporting zomea, zomea as long as it comes from CCM??

Kuwa serious aisee
 
Are you serious? hukusikia Magufuli naye alizomewa? au mnafikiri wengine hawana midomo ya kuzomea? Hiyo mikwara ya "vijana wa kitaa" haina msingi.

Zomea ni siasa za watu walioshindwa hoja.


Haha nasikia bwana Mihogo anaanza task yake 05/10/2015 chini ya ushauri mwanana toka kwako!!

Mungu aliona mbali sana kumnyima akili mwafrika akampa mzungu!!

Utumwa na Unyani ungali upo kwenye damu ya mwafrika mpaka leo!!!
 
Mkuu nililaani kuzomewa kwa magufuli humuhumu... more than once.... and Yes, I am serious

So are you supporting zomea, zomea as long as it comes from CCM??

Kuwa serious aisee


Huyo na bwana Mihogo wapo ktk kampeni ya Magufuli!!

Hapo ndipo inathibitika how waafrika wengi ni manyani!!!
 
Huyo na bwana Mihogo wapo ktk kampeni ya Magufuli!!

Hapo ndipo inathibitika how waafrika wengi ni manyani!!!

Inasikitisha sana

How can we forget all the relatives who died kwa kukosa basic health essential tena huyo fisadi akiwa nje ya system, na leo watu wa maana kama Mwanakijiji wako tayari kutusahaulisha yote hayo simply because of a small group of people (about 20) wanotaka ridhaa ya kumalizia mega contracts zao??

Sina hakika kama hawa watu wanajua who is the lesser evil of the two, whether ni CCM ya JAKAYA au UAKWA ya UKIWA!!

Sometimes, change is all that you need, regardless what it is.... if we allow CCM kuendelea simply because we hate fisadi Lowassa, then we are willing to let the whole ship sink because one bad apple in that ship!! its like nobody matter except Lowassa, JK na cohort ya JK

Not sure why we are reaching this low-point, but someone must be out of his mind

MAYBE KUNA KITU KIKUBWA SANA SISI WATANZANIA WA KAWAIDA HATUKIJUI HII SIO VITA YA KAWAIDA!!
 
Inasikitisha sana

How can we forget all the relatives who died kwa kukosa basic health essential tena huyo fisadi akiwa nje ya system, na leo watu wa maana kama Mwanakijiji wako tayari kutusahaulisha yote hayo simply because of a small group of people (about 20) wanotaka ridhaa ya kumalizia mega contracts zao??

Sina hakika kama hawa watu wanajua who is the lesser evil of the two, whether ni CCM ya JAKAYA au UAKWA ya UKIWA!!

Sometimes, change is all that you need, regardless what it is.... if we allow CCM kuendelea simply because we hate fisadi Lowassa, then we are willing to let the whole ship sink because one bad apple in that ship!! its like nobody matter except Lowassa, JK na cohort ya JK

Not sure why we are reaching this low-point, but someone must be out of his mind

Mwanakijiji huyo ni kuwadi lililo kubuhu kwa taasisi yake tu!!

Kenya Uhuru alisemwa Fisadi but leo wanafanya mambo makubwa Kenya!!

Bongo tunapoteza watu makini kwa sababu za kipumbavu na kishenzi tu!!

Ona leo akina Slaa na Mwanakijiji wamerudi CCM only kwakuwa wamesimamisha mtu kutoka taasisi yao!!!

Kwa hali hii wazungu watatawala africa kwa miaka elfu mbaka manyani yote yafe...
 
Safi sana. Lowassa ni FISADI mpaka kwenye damu.


Hivi ile Kebby's Hotel ya Magufuli inayoendeshwa na kimada wake alizipataje hela za kumiliki hotel kama ile??

Magufuli ilikuwaje akagawa nyumba kwa hawara??
 
Mgombea urais kupitia chadema, Mh Lowasa amejikuta tena katika wakati mgumu baada ya mamia ya vijana wanaojiita Chadema asilia, kutaka mgombea huyo asisimame kuhutubia kwani makandokando yake yanajulikana, hata hivo hali ilizidi kuwa ngumu walipoza sauti za kuzomea wakimtaja FISADI! FISAD! FISADI! Wengine wakimtaja Dr Slaa.
Haya Chei chei Shangazi umejifunza nini katika hadithi yako hii?
 
Haha nasikia bwana Mihogo anaanza task yake 05/10/2015 chini ya ushauri mwanana toka kwako!!

Mungu aliona mbali sana kumnyima akili mwafrika akampa mzungu!!

Utumwa na Unyani ungali upo kwenye damu ya mwafrika mpaka leo!!!

Utumwa na unyani upo kwenye damu yako na kizazi chako.usiingize na tusiokuwemo
 
Are you serious? hukusikia Magufuli naye alizomewa? au mnafikiri wengine hawana midomo ya kuzomea? Hiyo mikwara ya "vijana wa kitaa" haina msingi.

Zomea ni siasa za watu walioshindwa hoja.

Mkuu acha udaku unajishushia tu. We endesha harakati za kweli kumondoa EL chadema na Panda hata kwenyr jukwaa na magufuli kwa kua unahaki ya kufanya hivo huwezi jua hata mimi nikakuunga mkono lakini ukianza udaku udaku nitakataa tamaa hata mimi ni chadema asili lakini ccm siitaki kabisa
 
Kuna vitu vnafanyika kimya kimya kupata picha n ngumu
Kama la lowasa alivyojinyea huko geita

Duh! mkuu, kelele zote hizi za kajinyea kumbe hata picha hakuna!
kwangu mimi
hakuna picha + hakuna kuona kwa macho yangu = uzushi
 
Acha unafiki
KuFeel sorry kwa mwanakijiji anaetetea taifa kwa kuzuia fisadi lisiende ikulu kuifilis nchi yetu
Badala ya kufeel sorry kwa lowasa anaejinyea hovyo na bdo hatopata nchi

Viva magufuli viva

Ungemshauri aje nchini kutetea nchi kwa kutumia sanduku la kura.
 
Back
Top Bottom