Temba Innocent Jvr
Member
- Feb 1, 2012
- 34
- 4
Mada za siku hizi bhana.....!!!
Mtu anatoka kushikwashikwa na kupuyangwa na mumewe bila hata kuuosha maungo yake mbiooooooooo Jf kuanzisha thread..!!! Kama huyu hapo na mada yake... kamuhudumia mumewe, mbiooooooooo chooni, katoka kuhara huko, mbiooooooooo Jf bila hata kunawa mikono, kakalia keyboard anaandika Mada hapa..!!
Ukimuuliza anakimbilia wapi? hivi anajibu la kutoa?
BACK TANGANYIKA
hahahhahaha