iyengamuliro
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 819
- 366
Mgombea urais kupitia chadema, Mh Lowasa amejikuta tena katika wakati mgumu baada ya mamia ya vijana wanaojiita Chadema asilia, kutaka mgombea huyo asisimame kuhutubia kwani makandokando yake yanajulikana, hata hivo hali ilizidi kuwa ngumu walipoza sauti za kuzomea wakimtaja FISADI! FISAD! FISADI! Wengine wakimtaja Dr Slaa.
Acha kudanganya umma kwani mimi mwenyewe nilikuwepo uwanjani na nilichoshuhudia ni mapokezi ya kishindo kwa Lowasa.Babati yote ilizizima kuja kumsikiliza Raisi.