Acha ujinga wewe.Mleta uzi ambaye wakati wanekaa na watu wa TISS ambapo kupitia njia zao wazijuavyo wakishirikiana na viongozi wa ccm,wameamua kuanza video yao kwa kudai chadema inamajeshi.
Usalama wa Taifa tangu lini kwa weredi wao,wasijue chadema inamajeshi?
Chadema kwa mujibu wa katiba, wanawajibika kulinda maandamano haya ya amani na si mjadala.
Tumepewa taarifa,polisi wa Arusha wakishirikiana na greenguard,mmeandaa vijana wakiwa na sare za chadema ambao watatokea kila upande wakipiga watu,wakiiba vitu madukani na kudanya fujo ya kila aina.Mpango huu umeandaliwa kupitia kitengo cha usalama wa Taifa TISS.
Ni ushauri tu,acheni uchochezi,kwa nini mnahangaika na chadema kama ilivyokuwa kwa Cuf,Nccr mageuzi?
Muelewe kuwa chadema haitakufa katu,mbinu zaidi tu mtaonesha udhaifu mkubwa kiutendaji.
watu hawana ajira,nyie mnakesha kuijibu chadema,wanafunzi wanafeli nyie ni chadema tu
Ndani ya TISS tunaowatu waaminifu wanaotujuza kila kukicha,na wanaccm ambao wanasubiri tu kugawana mbao.
Peopleeeezzzzzzzz!