Arnold Ringo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2014
- 2,318
- 394
Yaani huyu Mwan Mpambanaji leo mnamkataa? Nenda kwenye profile yake uone jinsi alivyosaidia kujenga CDM
Chadema Hatuna Wanafki kama huyo pamoja na Wewe pia
Yaani huyu Mwan Mpambanaji leo mnamkataa? Nenda kwenye profile yake uone jinsi alivyosaidia kujenga CDM
Chadema wanataka maandamano arusha ili wafanye wizi na uporaji kwa raia na wafanyabiashara
Yale mabomu chadema waliolipua soweto yatatumika kulipua polisi kesho
Chadema wanaJeshi.... Wana vijana wa Mau Mau ... Wana Majasusi.... Wanaongozwa na Henry Kilewo.
afadhali hata ingekuwa kulinda raia, bali lengo lao ni kuua na kujeruhi raia. Jukumu lao ni kulinda hayo maandamano na sio kufanya kama wanavyofanya polisccm!Polisi Wataingilia kuwalinda Wananchi na Uhuni wa Chadema.
pamoja na zuio batili la polisiccm hapa arusha.tunapenda kusisitiza kwa wananchi wote wa jiji la arusha kujitokeza kwa wingi kesho saa tatu eneo la philips,maandamano yetu yapo pale pale.kimsingi zuio la polisi ni batili na hawana mamlaka hiyo.chadema tunatoa wito wa wananchi kujitokeza kwa kuwa maandamano haya ni halali kwa mujibu wa katiba ya nchi
idara ya ulinzi ya chama(red bregade) imejiandaa vya kutosha kulinda waandamanaji wote,ikiwa ni pamoja na kutoa huduma ya kwanza.vikosi vyetu vya ujasus na ulinzi,ukombozi wa fikra 335,mapambano daima,mau mau,pamoja na el che guevara 111 vipo tayari kwa mapambano,na ikibidi tutavitumia dhidi ya jeshi la polisi,na vibaraka wake.
Aluta continua
ndani ya ccm wanaojitambua ni wachache sana, wengi wao hawajitambui ni misukule tu!Mkuu, mie ninajitambua sana. Ndo maana nipo ccm. Si kama nyie misukule mliopo cdm
Chadema wanataka maandamano arusha ili wafanye wizi na uporaji kwa raia na wafanyabiashara
haa haa nasikia huwezi ukateuliwa kuwa rpc bila kuwa mwanaccm.
Pamoja na zuio batili la polisiccm hapa Arusha.Tunapenda kusisitiza kwa wananchi wote wa jiji la Arusha kujitokeza kwa wingi kesho saa tatu eneo la Philips,maandamano yetu yapo pale pale.Kimsingi zuio la polisi ni BATILI na hawana mamlaka hiyo.CHADEMA tunatoa wito wa wananchi kujitokeza kwa kuwa maandamano haya ni halali kwa mujibu wa katiba ya nchi
Idara ya ulinzi ya chama(red bregade) imejiandaa vya kutosha kulinda waandamanaji wote,ikiwa ni pamoja na kutoa huduma ya kwanza.Vikosi vyetu vya ujasus na ulinzi,UKOMBOZI WA FIKRA 335,MAPAMBANO DAIMA,Mau Mau,pamoja na El Che Guevara 111 vipo tayari kwa mapambano,na ikibidi tutavitumia dhidi ya jeshi la polisi,na vibaraka wake.
Aluta continua