Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,939
- 43,573
Kwa habari za Chini ya Kapeti
Yericko Nyerere, Henry Kilewo na Ben Saanane wapo kikosi cha Ujasusi...
Epahata Nanyaro yupo Mau Mau
Hahahahaha yetu macho masikio!
Last edited by a moderator:
Kwa habari za Chini ya Kapeti
Yericko Nyerere, Henry Kilewo na Ben Saanane wapo kikosi cha Ujasusi...
Epahata Nanyaro yupo Mau Mau
Bado tunasisitiza kuwa mbinu hizo tumezijua hakuna kitakachopita bila chadema kujua,chadema ni zaidi ya uijuavyo,jiulize kwa nini mpango huu wa TISS na ccm umevuja?
Hivi sasa kuna Askari takribani 100, wamelipia fast jet kesho kwenda kufanya vurugu hizo,wakiwa kwenye mavazi ya kiraia
lazima tuandamane bila kuogopa vitisho vya polisi kesho lazma tujitokeze kwa wingi hakuna mwenye uwezo wa kushindana na nguvu ya umma ..WAZALENDO WENZANGU MSIKATE TAMAA MUDA WA UKOMBOZI UMESHAKARIBIA VIVA CDM DAIMA
Kesho ama zao ama zetu. Kawaambie kabisaChadema wanaJeshi.... Wana vijana wa Mau Mau ... Wana Majasusi.... Wanaongozwa na Henry Kilewo.
Pamoja na zuio batili la polisiccm hapa Arusha.Tunapenda kusisitiza kwa wananchi wote wa jiji la Arusha kujitokeza kwa wingi kesho saa tatu eneo la Philips,maandamano yetu yapo pale pale.Kimsingi zuio la polisi ni BATILI na hawana mamlaka hiyo.CHADEMA tunatoa wito wa wananchi kujitokeza kwa kuwa maandamano haya ni halali kwa mujibu wa katiba ya nchi
Idara ya ulinzi ya chama(red bregade) imejiandaa vya kutosha kulinda waandamanaji wote,ikiwa ni pamoja na kutoa huduma ya kwanza.Vikosi vyetu vya ujasus na ulinzi,UKOMBOZI WA FIKRA 335,MAPAMBANO DAIMA,Mau Mau,pamoja na El Che Guevara 111 vipo tayari kwa mapambano,na ikibidi tutavitumia dhidi ya jeshi la polisi,na vibaraka wake.
Aluta continua
Kesho ama zao ama zetu. Kawaambie kabisa
Huyu mhuni anajiita Mwan mpambanaji hana lolote zaidi ya kuonesha uchochezi pasi na sababu.
CHADEMA haina jeshi na haina mpango wa kuwa na Jeshi. Maandamano yetu ni ya Amani na Mungu ndie nlinzi wetu dhidi ya hila za mwovu huyu CCM na policeCCM na vibaraka vyao.
mleta thread lengo lango hasa sio jema japo tunawaasa watu wote bila kujali itikadi ya kisiasa au chama tuandamane na kupasa sauti zetu kupinga uonevu. Narudia tena tujitokeza sote wapenda maendeleo na mageuzi ya kweli...
Crashwise yuko.kikosi cha MAU MAU kitakachoongoza mashambulizi kutokea unga ltd
Chadema wanataka maandamano arusha ili wafanye wizi na uporaji kwa raia na wafanyabiashara
Chadema wanataka maandamano arusha ili wafanye wizi na uporaji kwa raia na wafanyabiashara
Ondoa unafiki wako na uchochezi hapa.
Wewe ni wkibaraka wa CCM na hivi vikosi unavyotaja ni uongo mtupu.Chadema haina majeshi na inalindwa na Mungu aliye juu.
Wao wana silaha na sisi tunamtegemea Mungu.
Huyu ni mwizi.. Mchunguzeni anafanya nini kwenye maandamano.