Ama kweli nyinyi mambumbu watumwa wa akili huyo mboe mwenyewe huyo Afrk
a kusini nyinyi huku vifuu tundundu mnataka kuvunjwa miguu kuweni na akili msiwe wapumbavu nyinyi wahuni na mnataka kutumia maandamano hayo na kufanya vurugu kupora vitu vya watu tu wezi wakubwa kama kweli yy mboe jemadari mbona kakimbia hahaaa
Hatuandamani kwa sababu ya fasheni,tuambie wewe kwa nini ccm inataka kuifanya elimu ya msingi iwe drs la l-kidato cha 12? Wakati watoto wenu wakisoma nje?, kwa nini suala la maji limekuwa ndoto hata maeneo yaliyo na mito na maziwa?, kwa nini ruahwa imekuwa sehemu ya maisha ya ccm kutoka uchaguzi wa kura za maini hadi nafasi za ajira?, kwa nini ccm inatunga sheria lakini viongozi wao wanakuwa wa kwanza kuzivunja?, wanamtungia nani?,
Kwa nini ccm, imekuwa mstari wa mbele kuuza ardhi ya wananchi wake,na hakuna hatua? KDA kigamboni,ifakara nk?
Kwa nini huduma za afya hakuna ila kuna majengo tu?, kwa nini bidhaa za wakulima soko lao na bei haitabiliki?, kwa nini wizi wa raslimali zetu kama madini ya almasi mwekezaji tangu 1944 hadi leo hajalipa kodi?, kwa nini basi kodi za makampuni ya mawasiliano hailipwi?,
Kwa nini wanafunzi wanaendelea kufeli,huku ccm ikiendelea kushusha alama za ufaulu?, kwa nini ccm inasema inalipa ruzuku 25000/ tsh kwa kila mwanafunzi bungeni lakini kiukweli kila mwanafunzi anapewa tsh 5034 tu?
Niambie kwa nini watanzania wasiandamane wakati, wakati walimu wanalipwa tsh 299400, fedha hizo alipe pango,umeme,maji,matibabu( kwani dawa nyingi ni za kununua) atashindwaje kuandamana? Kwa nini wafanyabiashara wadogowadogo wanaofukuzwa huku na kule huku wakiambiwa maisha bora kwa kila mtanzania lakini wakipigwa,wakionewa na kunuanyaswa kwa nini wasiandamane?
Chadema hatuna jeshi tutaandamana na polisi hawahawa wanachofanya siku moja watakumbuka tabia ya polisi waliokuwa wakifanya pale soweto SA,india,kenya,Ghana na nchi zenye denokrasia halisi