Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,753
ha haaaaaaaaaaaaa, kipenda roho..................... enjoy we mwayahuo kweli ndo ugonjwa wangu FP napenda nyama lainiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
ha haaaaaaaaaaaaa, kipenda roho..................... enjoy we mwayahuo kweli ndo ugonjwa wangu FP napenda nyama lainiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Hili ukitaka ulifaidi panda nalo daladala la Posta-Mbezi, K.Koo-Mbezi, K.Koo-Tegeta, Posta-Gombs, Posta-Mb.Rangi3, M/Mmoja-Segerea alafu omba Mungu daladala lipakie mawe yaani mwanzo mwisho limeshona linaanza kushusha vituo karibia mnafika usipo chafua suruali kwa mfadhaiko basi we si rijali wallah
Yani ndo mana cku hzi kutwa kucha wanaume wananunua magari yasiyokuwa na vioo vyenye Tinted alimradi wachungulie 'mawowowo' yanayokatiza mabarabarani.
Aisee na Mimi Rutta wangu huwa ananiambiaga nina Kijungu cha uchokozi,tena kilichobetuka kwa juu.
Sasa sielewi ubetukaji huo unamsaidia vipi yeye,
Labda aje mwemyewe.
ruttashobolwa hebu tuambie apa Madame B ana kijungu eti? Halafu mwalimu wangu mbona vipindi huingii jamani unataka nifeli?
hahahaaaa shem cha uchokozi hukijui?
Ni kijungu kinakuwa kimetokezea kimtindo.... Kina mvuto wake acha tu...
Au pistol (hips ) zimetoka kwa mbaaaali unakua na shepu flani taaamu.....
Kaizer
Si kijungu tu ni kwamba na jihisi mwenye bahati sana kwakweli mungu kamjalia sana! Nikimkumbatia kwakweli napata faraja!
Mengine siwezi kukwambia wewe ni mwanafunzi wake hutashindwa kumsikiliza vizuri darasani!