"Cha Uchokozi"

Morning wana CC!

Nimekutana na hii hapa




Haya hebu nidadavulieni wajameni haya mawowo 'ya uchokozi' ndo yakoje? Manake naona mi mgeni kwen hii tasnia....mara usikie 'hips za uchokozi' au 'kiuno cha uchokozi' au 'maziwa ya uchokozi" "sauti ya uchokozi" ndo yanakuwagaje?

Popote mlipo, mabinti watukuka wa chit chat hebu toeni ufafanuzi hapa huwa mnamaanisha nn?

Tuanze na beibe nasty mwenyewe, kisha charminglady. Wakeze Asprin kuna mwenye kitu cha uchokozi? BADILI TABIA, Yummy, cacico shemeji yangu unanichokoza na nini hadi hamu hainiishi? Kongosho, Madame B na madameX, Kaunga, Preta, sweetlady, gfsonwin, snowhite, hebu mu come zis way!

Halafu sijui kama pia wenzangu wana lionaje hili...kuna under age Erickb52 sijui kama alishachokozwa au ndo anakuzwa na Dena Amsi, Judgement, platozoom na Mphamvu itifaki ikiwa imezingatiwa.

Wakubwa zangu Roulette my sweet shemeji, King'asti (huko ndoani sijui anachokozaga na nini) Dark City, Kimey, fidel, Teamo, MwanajamiiOne, RR, Bigirita and co...


Hebu kina dada fungukeni, kitu gani hasa mnacho kinachomchokoza mpenzi wako au wakware wengine...of course baada ya kutupa uelewa wa neno uchokozi kwen tasnia ya viungo au sauti

Naomba kuwasilisha
Heheheeee Kaizer bhana lol
Huyu beibe nasty naona aje aseme mwenyewe
 
Last edited by a moderator:
heheee sikufikiria kaizer utalitilia maanan hivo loooh mefanywa kupewa taarifa juu ya hili.

Mi mwenyewe nilipatwa kuambiwa kuwa ninakawowo cha uchokozi si unajua tena wenye mali akaendelea sema ooh nina english figure, portable na makolombwezo coz mi sina muwowowo ninacho chakuvalia nguo ikakaa vyema jugdement ndo alisema ivo na labda kwasababu twalalaga na suti zetu originali ha ila kwa muonekano wanje tuu labda my brother mentor aje aseme ktk hili
 
heheee sikufikiria kaizer utalitilia maanan hivo loooh mefanywa kupewa taarifa juu ya hili.

Mi mwenyewe nilipatwa kuambiwa kuwa ninakawowo cha uchokozi si unajua tena wenye mali akaendelea sema ooh nina english figure, portable na makolombwezo coz mi sina muwowowo ninacho chakuvalia nguo ikakaa vyema jugdement ndo alisema ivo na labda kwasababu twalalaga na suti zetu originali ha ila kwa muonekano wanje tuu labda my brother mentor aje aseme ktk hili

Haaa beibe nasty nani kakustua kwanza kuwa "kimenuka" huku? Lol

Umeona apo cha uchokozi ndo penye point. Ni kumaanisha "sexy"? La kutosha kuvalia nguo lina ukubwa gani....am stuck.
 
Last edited by a moderator:
Haaa beibe nasty nani kakustua kwanza kuwa "kimenuka" huku? Lol

Umeona apo cha uchokozi ndo penye point. Ni kumaanisha "sexy"? La kutosha kuvalia nguo lina ukubwa gani....am stuck.


Intelligecia wangu any way miili yakina michelle obama ile ila ya kiafrika zaidi hahahaaaa kawaida sio lakupigiwa miruzii mtaa wa kongoo
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom