Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
Heheheeee Kaizer bhana lolMorning wana CC!
Nimekutana na hii hapa
Haya hebu nidadavulieni wajameni haya mawowo 'ya uchokozi' ndo yakoje? Manake naona mi mgeni kwen hii tasnia....mara usikie 'hips za uchokozi' au 'kiuno cha uchokozi' au 'maziwa ya uchokozi" "sauti ya uchokozi" ndo yanakuwagaje?
Popote mlipo, mabinti watukuka wa chit chat hebu toeni ufafanuzi hapa huwa mnamaanisha nn?
Tuanze na beibe nasty mwenyewe, kisha charminglady. Wakeze Asprin kuna mwenye kitu cha uchokozi? BADILI TABIA, Yummy, cacico shemeji yangu unanichokoza na nini hadi hamu hainiishi? Kongosho, Madame B na madameX, Kaunga, Preta, sweetlady, gfsonwin, snowhite, hebu mu come zis way!
Halafu sijui kama pia wenzangu wana lionaje hili...kuna under age Erickb52 sijui kama alishachokozwa au ndo anakuzwa na Dena Amsi, Judgement, platozoom na Mphamvu itifaki ikiwa imezingatiwa.
Wakubwa zangu Roulette my sweet shemeji, King'asti (huko ndoani sijui anachokozaga na nini) Dark City, Kimey, fidel, Teamo, MwanajamiiOne, RR, Bigirita and co...
Hebu kina dada fungukeni, kitu gani hasa mnacho kinachomchokoza mpenzi wako au wakware wengine...of course baada ya kutupa uelewa wa neno uchokozi kwen tasnia ya viungo au sauti
Naomba kuwasilisha
Na wewe kwa uchokozi...!!Mh hapa naomba nipite tu !
ha ha ha haaah!! Nitamkubalia huenda kero zitapungua...Inawezekana aisee maana huwezi jua lol
Mkubalie utaona salamu inaisha heheheeee
Naona hajaamka bado lol
heheee sikufikiria kaizer utalitilia maanan hivo loooh mefanywa kupewa taarifa juu ya hili.
Mi mwenyewe nilipatwa kuambiwa kuwa ninakawowo cha uchokozi si unajua tena wenye mali akaendelea sema ooh nina english figure, portable na makolombwezo coz mi sina muwowowo ninacho chakuvalia nguo ikakaa vyema jugdement ndo alisema ivo na labda kwasababu twalalaga na suti zetu originali ha ila kwa muonekano wanje tuu labda my brother mentor aje aseme ktk hili
Haaa beibe nasty nani kakustua kwanza kuwa "kimenuka" huku? Lol
Umeona apo cha uchokozi ndo penye point. Ni kumaanisha "sexy"? La kutosha kuvalia nguo lina ukubwa gani....am stuck.