"Cha Uchokozi"

"Cha Uchokozi"

Sijui hayo mengine, ila nadhani hili ni wowowo la uchokozi, maana ukkaa nae siti moja kwenye daladala lazima likuchokoze.

big-booty.jpg

Yaani wewe umelaanika. Nani kakupa picha na nanihii? Ngoja aje!
 
Hahahahhahaah lol.....mama wa ubatizo una vituko wewe tehe tehe tehe...........mie haijalishi ili mradi nikivaa jeans haishuki lol.............twenzetu mwaya!


ta kama inashuka si unapiga mkanda? Weeeh vipi?
Sony wega oyeeee
 
Kwa hiyo unafanya sensa ya wenye vya uchokozi ili uongeze mke? Machale kundesa here here now.
Unataka ugomvi with your little sister kaka

hahahaah King'asti hebu soma tena bandiko mbona hunitakii kakako mema lakini? khaa!
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo unafanya sensa ya wenye vya uchokozi ili uongeze mke? Machale kundesa here here now.
Unataka ugomvi with your little sister kaka

Kwa taarifa yako mwanaume ku'own mke more than one ni RESPECT !
Mpunguzieni embargo atengeze heshma.
 
Mie siku hizi sisemi kaka, manake mie sina chochote cha uchokozi, sio wowowo, miguu, lips wala macho.
akhuuu. Ila haya weeh.

Kijana wangu asingekung'ang'ania ivo King'asti, besides nakufahamu uzuuri......hahahaha. In fact akikurudisha nyumbani kesho yake tunapokea mahari!
 
Last edited by a moderator:
Kaizer wewe mbona mchokozi..halafu nimeshakushtukia unapenda ''vya uchokozi'' mweeeeh!!
 
Last edited by a moderator:
Hii strategy ya Kaizer sijapata kuiona...........hata sugu kama Bishanga haoni ndani. Utawakamata tu si ulishamfukuza AshaDii kwenye hii sredi
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom