"Cha Uchokozi"

"Cha Uchokozi"

Aisee!
Na mimi nilipata kuambiwa na Remmy kuwa nina ndevu za uchokozi! Nategemea kufaidika na majibu!

Hahahaaaaa....kweli unazo za uchokozi!
Ila nanihii ni ya uhakika, haina uchokozi.
 
Last edited by a moderator:
ngoja nijaribu kufafanua aina ya vijungu yaani wowowo...
1. Kijungu Bapa
Mithilisha aina hii ya kijungu kama ilivyo upande wa nyuma wa haya magari, Noah, Escudo, Vitz nk

2. Kijungu cha Kiuchokozi
Hiki ni aina ya kijungu ambacho hamira inakua haijakolea vizuri, mithilisha na booty la magari kama Corolla A100,110, Toyota Corsa kimsingi hiki kijungu huwa kigumugumu hivi sio mdebwedo.

3. Kijungu Mambo iko huku
Hiki ndio funga kazi, yaani kama ni kando basi hamira imekolea....ushawahi kuona Toyota Ballon wewee

Mmmmh mbona changu sio kigumuu ni std na sio mdebweedooo
 
Morning wana CC!

Nimekutana na hii hapa




Haya hebu nidadavulieni wajameni haya mawowo 'ya uchokozi' ndo yakoje? Manake naona mi mgeni kwen hii tasnia....mara usikie 'hips za uchokozi' au 'kiuno cha uchokozi' au 'maziwa ya uchokozi" "sauti ya uchokozi" ndo yanakuwagaje?

Popote mlipo, mabinti watukuka wa chit chat hebu toeni ufafanuzi hapa huwa mnamaanisha nn?

Tuanze na beibe nasty mwenyewe, kisha charminglady. Wakeze Asprin kuna mwenye kitu cha uchokozi? BADILI TABIA, Yummy, cacico shemeji yangu unanichokoza na nini hadi hamu hainiishi? Kongosho, Madame B na madameX, Kaunga, Preta, sweetlady, gfsonwin, snowhite, hebu mu come zis way!

Halafu sijui kama pia wenzangu wana lionaje hili...kuna under age Erickb52 sijui kama alishachokozwa au ndo anakuzwa na Dena Amsi, Judgement, platozoom na Mphamvu itifaki ikiwa imezingatiwa.

Wakubwa zangu Roulette my sweet shemeji, King'asti (huko ndoani sijui anachokozaga na nini) Dark City, Kimey, fidel, Teamo, MwanajamiiOne, RR, Bigirita and co...


Hebu kina dada fungukeni, kitu gani hasa mnacho kinachomchokoza mpenzi wako au wakware wengine...of course baada ya kutupa uelewa wa neno uchokozi kwen tasnia ya viungo au sauti

Naomba kuwasilisha

Sijui hayo mengine, ila nadhani hili ni wowowo la uchokozi, maana ukkaa nae siti moja kwenye daladala lazima likuchokoze.

big-booty.jpg
 
Last edited by a moderator:
Kumbe hapa leo kuna Sredi ya akili kihivi !
Ofcoz mwanamke asokua na shepu ni sawa na darasa liso na madawati !
 
haya chokozaneni mimi nipo kwa mbali nawacheck tu


Tuliopitwa na wakati utatujua tu....

Ngoja nikapumzike kwenye kivuli nifurahie wajukuu wanavyochokozana...Ila mradi wasiumizane kwa kutona na ngeu kwenye vichwa vyenye utata...lol!!

Babu DC!!
 
Tuliopitwa na wakati utatujua tu....

Ngoja nikapumzike kwenye kivuli nifurahie wajukuu wanavyochokozana...Ila mradi wasiumizane kwa kutona na ngeu kwenye vichwa vyenye utata...lol!!

Babu DC!!
mwenzangu, ngoja tuwapishe wajukuu wachokozane
 
Mmmmh mbona changu sio kigumuu ni std na sio mdebweedooo

kwani huwa kinarindima, singida - dodoma X 2...kama kinarindima sasa basi wewe ni kundi la tatu, kama kimekakamaa kama jiwe kuu la pembeni basi jua namba 2 inakuhusu...
 
Sijui hayo mengine, ila nadhani hili ni wowowo la uchokozi, maana ukkaa nae siti moja kwenye daladala lazima likuchokoze.

big-booty.jpg

Hili ukitaka ulifaidi panda nalo daladala la Posta-Mbezi, K.Koo-Mbezi, K.Koo-Tegeta, Posta-Gombs, Posta-Mb.Rangi3, M/Mmoja-Segerea alafu omba Mungu daladala lipakie mawe yaani mwanzo mwisho limeshona linaanza kushusha vituo karibia mnafika usipo chafua suruali kwa mfadhaiko basi we si rijali wallah
 
kuna siku nilisoma post yako, zamani, nakumbuka mpaka sasa kuwa huo ndo ugonjwa wako................... ni vizuri ukijijua unataka nini, lol!

huo kweli ndo ugonjwa wangu FP napenda nyama lainiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom