Zee la Mandandu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 627
- 1,561
Hahaaaaa kumbe huyu ndio alitupiga humu.Hadi huyu mzee wa Forex naye kahama Dini!!!
Hahaaaaa kumbe huyu ndio alitupiga humu.Hadi huyu mzee wa Forex naye kahama Dini!!!
Bahati nzuri ukiamia huko kwenye uislamu hakuna mtu atakutafuta na upanga kisa umebadili dini.
Ndiyo, alikuwa humu. Sijui kama yupo tenaHahaaaaa kumbe huyu ndio alitupiga humu.
Mr Nice katoka sijui dini gani kwenda Freemasonry
Ukirtadi hukumu yake ni kifo.Ila wao sasa
Tupooooo.tena tumefurahi kumuona ontario
So jino kwa jino kwako ni sawa?Mimi sio mwislamu ila uislamu una mambo mengi ya ukweli sana. Pia kwenye mambo ya haki ni dini nzuri tofauti na huku kwetu tunaambiwa mtu akikupiga kofi shavu la kulia mgeuzie la kushoto.
What for mzee?mimi ni mkristo safi ila wiki hii naenda kusilimu niwe muislimu ibada ya kuchanganyika na wanawake ibada ya kwaya imenichosha hata mungu kachoka
Hujawahi kusikia kitu kinaitwa the last supperIsa ni nani? Isa na Yesu ni tofauti sana. Yesu ni Masiya. Isa sijui ni nani. Nadhani alichomekewa tu kwenye issue za Mudy na Quran. Muddy unajua alikuwa mwizi, malaya, ben 10,anakula wanaume wenzie, anavaa nguo za wake zake n.k.
Nianze kuweka vifungu? Maana hapa ndo nlikuwa napataka.
Huko kwenu hakuna kwaya au nyimbo sio? Elimu yako ni ndogo ,kuanzia adhana,zile sura zote mnazoimba kwenye swala kuanzia Alfatiha zote ni nyimbo achilia mbali zile purely organized choir zinazoitwa kwa majina ya kiarabu QASWIDA na ZIKHIRI zote ni kwaya kama kwaya nyingine tatizo Lenu ilimu yenu ya kukariri sura zilizoandikwa anticlockwise ndizo zinaeafanya kumpinga kitu mnachokifanya kisa ni jina tuumimi ni mkristo safi ila wiki hii naenda kusilimu niwe muislimu ibada ya kuchanganyika na wanawake ibada ya kwaya imenichosha hata mungu kachoka
Inavyosema ni "DINI NZURI KWA WANAUME" Ina mvuto gani kwa mfano? Hiyo ni dini au kikundi Cha kijeshi?ambazo Sala zake ni za kuulazimisha kama mazoezi ya kijeshi?Uislam ni dini nzuri sana kwa wanaume kuliko ukristu. Kwa upande mwingine uislam ni dini ngumu sana kwa wanawake
Kwa hiyo,mwanaume aliyebadili dini kwenda uislam naona kachagua dini nzuri na yenye kumpa furaha zaidi kwa sababu uislam umempa madaraka makubwa mwanaume
Mwanamke anayetoka uislam kwenda ukristu naye naona atakua amefanya maamuzi mazuri kwa sababu ukristu haikandamizi haki za wanawake kama uislam
(Wakuu,kwa imani yangu binafsi Mimi naheshimu dini zote kwa usawa including dini za mababu zetu. Dini kwangu naiambatanisha zaidi na aspect ya utamaduni wa watu fulani na sio njia ya kwenda mbinguni kama wengi mnavyoamini)
Ova!
Hata Mwijaku hawajawahi kuwa mkristu. Hilo jina Burton Mwemba huenda alinunua kwa ajili ya shule kwamba alifeli primary then akanunua jina ili asome seco.P hajawahi kubadili dini, bali mama muislam akamwita Khalfan na baba mkristo ndio akamwita sijui nani,
Mtu kaakaa kabisa kaanza kufuatilia huyu dini gani na alikuwa dini ipi kabla. Akaja hapa akaanza kuandika😄.Kufuatilia mambo ya dini, ni upuuzi..