Celebrities wa Tanzania waliobadili dini na kuwa Waislam

mimi ni mkristo safi ila wiki hii naenda kusilimu niwe muislimu ibada ya kuchanganyika na wanawake ibada ya kwaya imenichosha hata mungu kachoka
What for mzee?

Au hata uwongo sema alimradi dini ya Alaa isimame basi wewe peponi utaenda kwani ktk dini yako kutenda dhambi ukiitetea alaa anakukirimu pepo,wewe ni muislam unasema haya kwa faida ya nani

Longido, Arusha: Vijana 70 wakamatwa na chuo chao kufungwa wakifundishwa karate na mafunzo ya siasa kali

Post yako hiyo hapo juu kudhihirisha wewe ni muongo
 
Isa ni nani? Isa na Yesu ni tofauti sana. Yesu ni Masiya. Isa sijui ni nani. Nadhani alichomekewa tu kwenye issue za Mudy na Quran. Muddy unajua alikuwa mwizi, malaya, ben 10,anakula wanaume wenzie, anavaa nguo za wake zake n.k.

Nianze kuweka vifungu? Maana hapa ndo nlikuwa napataka.
Hujawahi kusikia kitu kinaitwa the last supper
Hapa ndio Vatican waliaafiki yule yesu ni shoga
Wakati wengine wanasarandia mary magdalena yeye alikuwa bize na paulo

1711056683228.png
 
Hakuna ukristo au uislamu wa dizaini ya maisha ya hao wasanii.
Watakuambia walikuwa wakristo (lakini tabia na mienendo yao haiakisi ukristo) na wameamua kuwa waislamu (lakini bado maisha na mienendo yao haiakisi Uislamu).

Kwangu mimi yote ni maigizo tu.
 
mimi ni mkristo safi ila wiki hii naenda kusilimu niwe muislimu ibada ya kuchanganyika na wanawake ibada ya kwaya imenichosha hata mungu kachoka
Huko kwenu hakuna kwaya au nyimbo sio? Elimu yako ni ndogo ,kuanzia adhana,zile sura zote mnazoimba kwenye swala kuanzia Alfatiha zote ni nyimbo achilia mbali zile purely organized choir zinazoitwa kwa majina ya kiarabu QASWIDA na ZIKHIRI zote ni kwaya kama kwaya nyingine tatizo Lenu ilimu yenu ya kukariri sura zilizoandikwa anticlockwise ndizo zinaeafanya kumpinga kitu mnachokifanya kisa ni jina tuu
 
Uislam ni dini nzuri sana kwa wanaume kuliko ukristu. Kwa upande mwingine uislam ni dini ngumu sana kwa wanawake

Kwa hiyo,mwanaume aliyebadili dini kwenda uislam naona kachagua dini nzuri na yenye kumpa furaha zaidi kwa sababu uislam umempa madaraka makubwa mwanaume

Mwanamke anayetoka uislam kwenda ukristu naye naona atakua amefanya maamuzi mazuri kwa sababu ukristu haikandamizi haki za wanawake kama uislam

(Wakuu,kwa imani yangu binafsi Mimi naheshimu dini zote kwa usawa including dini za mababu zetu. Dini kwangu naiambatanisha zaidi na aspect ya utamaduni wa watu fulani na sio njia ya kwenda mbinguni kama wengi mnavyoamini)

Ova!
Inavyosema ni "DINI NZURI KWA WANAUME" Ina mvuto gani kwa mfano? Hiyo ni dini au kikundi Cha kijeshi?ambazo Sala zake ni za kuulazimisha kama mazoezi ya kijeshi?
 
Kubadili dini ni haki ya kila mtu, hata kama ataona dini haina maana yaani abaki mpagani nayo ni sawa pia hana kosa kisheria
 
P hajawahi kubadili dini, bali mama muislam akamwita Khalfan na baba mkristo ndio akamwita sijui nani,
Hata Mwijaku hawajawahi kuwa mkristu. Hilo jina Burton Mwemba huenda alinunua kwa ajili ya shule kwamba alifeli primary then akanunua jina ili asome seco.

Shomary Kapombe hajabadilisha dini ila baba ake muislamu mamake mkristu na yeye ni mtoto wa mama.

However P.Funky alifunga ndoa ya kiislamu.


Wengine walio badili dini no pamoja na Julius Mtatiro.

Hillary David (.zembwela na yeye nahisi kasilimu)

Marehemu Maunda Zorro na yeye alitoka.kwenye ukristu kwenda kwenye uislamu.


N.b: kubadili dini ni upuuzi to kwa sababu haikubadilishii chochote zaidi ya kutoa dhambi zako kwenye dini yako na kuzihamishia kwenye dini nyingine
 
ndugu zangu dhambi zote ni mbaya, ila dhambi ya kwanza watu watahukumiwa, ni ya KUMKATAA YESU. NINYI MNAOMKANA YESU, JIANDAENI NA HUKUMU KUBWA SANA, MTAJUTA NA KUSAGA MENO SIKU HIYO.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom