Timu ya taifa ya Zanzibar wanaibuka washindi wa tatu wa mashindano ya CECAFA Challenge Cup.
Mpira umeisha kwa matokeo ya bao moja kwa moja (1 - 1) ndani ya dakika 90 za mchezo.
Ushindi wa Zanzibar umepatikana baada ya kufanikiwa kutumbukiza matuta 6 dhidi ya 5 ya Kilimanjaro Stars.
Kwa tathimini yangu, Zanzibar wamecheza kitimu zaidi na walikuwa na morali ya kushika nafasi hii ya tatu..
Hongera Zanzibar, hongera Tanzania...
Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika.