CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

Uamsho wanatisha kweli, sasa kwa nn kwenye timu ya taifa ya muungano, wazenji ni wachache ?
 
.., Kilimanjaro Stars wakirudi wapelekwe moja kwa moja MAKUTOPORA, wakae kwa muda wa siku 7 tu...
 
.., Kilimanjaro Stars wakirudi wapelekwe moja kwa moja MAKUTOPORA, wakae kwa muda wa siku 7 tu...

Makutupora a.k.a Makutupoa si mahali pa kupelekwa hawa jamaa ni pazuri sana, kama ni hivyo wapelekwe Bulombora wakapigishwe kwata kisha warudishwe Ukonga kwa mafunzo zaidi.
 
Back
Top Bottom