Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,192
- 678
Uamsho wanatisha kweli, sasa kwa nn kwenye timu ya taifa ya muungano, wazenji ni wachache ?
Zanzibar wanapata penati ya mwisho
6 - 5
Zanzibar wanakuwa washindi wa tatu
Sina comment, isipokuwa natamani sana Kenya iifunge Uganda hivi punde.
Lol! Aibu. Yaani uamsho wanatushinda?
kwani UAMSHO ndio waliokuwa wanacheza?
Hahahahahahahaha, mkuu uamsho ni kundi kubwa na inawezekana kabisa hawa wachezaji wengi wao ni wafuasi pia.
.., Kilimanjaro Stars wakirudi wapelekwe moja kwa moja MAKUTOPORA, wakae kwa muda wa siku 7 tu...
Si rahisi japo hata mimi ningependa iwe hivyo ili wakamshughulikie huyo bosi wao aliyenaswa alimlawiti mchezaji mmoja wa Uganda Cranes.
Mkuu, huyo aliyelawiti ni nani na nani kamlawiti?
Kuna picha zimezagaa kwenye facebook jana ambazo waganda wameziposti zikimwonyesha Chris Mubiru ambaye ni bosi wa timu akifanya huo ushetani. Ngonga hapa kwa taarifa zaidi: Maybe it's just me...: Uganda tabloid reveals photos of football boss 'Sodomizing' a young man.
Dak. 22 UG 0-0 KE
nasikia ni moja wanaongoza vipi lakini wameongeza au Makoye Matale