Siamini kama Kilimanjaro watavuka
mkuu waganda ni wepesi kiasi hicho kweli!!isije ikawa tukacheza na zanzb!!!
Znz kwisney naombea Taifa langu Tanganyika hao znz ni nchi ya kigeni afadhali wametoka
Nyimbo za Taifa zinapigwa sasa
Niwashukuru sana hawa hapa chini kwa Presentation zao nzuri humu ndani ya jamvi.sasa naomba tujielekeze kwenye mpambano huu ambao umeanza katika dakika ya kwanza ambapo sisi TZ ndio tumeuanza mpira kwa kuukanyaga.
By idawa![]()
By WABHEJASANA![]()
By Makoye Matale![]()
By chitambikwa![]()
Niwashukuru sana hawa hapa chini kwa Presentation zao nzuri humu ndani ya jamvi.sasa naomba tujielekeze kwenye mpambano huu ambao umeanza katika dakika ya kwanza ambapo sisi TZ ndio tumeuanza mpira kwa kuukanyaga.
By idawa![]()
By WABHEJASANA![]()
By Makoye Matale![]()
By chitambikwa![]()