Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,290
- 108,310
Mkuu samahani hivi Samata na Ulimwengu wako wapi??
wapo Lubumbashi na TP Mazembe
Mkuu samahani hivi Samata na Ulimwengu wako wapi??
Tunapewa goli la Offside...
Wako Lubumbashi bado, hawako ukanda wa CECAFA na ligi yao haipumziki kupisha mashindano.
Tunapewa goli la Offside...
lilikuwa gori zuri sana kama umeona vizuri ngasa na boko waliukuwa kwenye line moja sasa offside inatoka wapi
lilikuwa gori zuri sana kama umeona vizuri ngasa na boko waliukuwa kwenye line moja sasa offside inatoka wapi
Hivi wabongo hata hizi mechi huwa wanarogwa...mbona control mbovu kabisa
TBC1, Tz tumepata bao la pili. John Bocco again.Wakuu,
Ni TV gani wanaonyesha hii mechi...
Mkuu watu8 ana makengeza!!!
Wakuu,
Ni TV gani wanaonyesha hii mechi...
Mkuu watu8 na nimegundua wewe sio mtanzania na hilo ni Offside??
Tunapewa goli la Offside...
Bocco tena...