chitambikwa
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,941
- 903
Kila na heri the Kilimanjaro
Kipindi cha pili inabidi hawa wazenj wakomae ili watutoe kimasomaso, kuna yeyote anaweza kuweka kikosi kilichoanza za Zanzibar Heroes?
Kipindi cha pili inabidi hawa wazenj wakomae ili watutoe kimasomaso, kuna yeyote anaweza kuweka kikosi kilichoanza za Zanzibar Heroes?
Mkuu wangu Makoye Matale:Hebu jaribu ku-analyse kidogo hizi dakika 45 za kipindi cha kwanza,halafu nini kifanyike kipindi cha pili kwa wazenji kama kweli wanataka ushindi kwenye mchezo huu,najua ulikuwa na kazi ngumu ya kutoa update kwa hiyo usingeweza elza kila kitu!
Dak 59 bado 1-1
Samahani Mkuu sikuweza ku-analyse, nilipeleka mtoto tuitiö wakati wa half time. Zanzibar wako vizuri. Mabeki waongeze umakini. Dak. 61 bado 1-1.
mpaka sasa 66' Played ONE ONE
Hivi huu mtanange hadi dk 90 zikimalizika kwa SARE, ni matuta au kuna zile dakika za kuchoshana?