CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

Huyu kipa anaweza kuigharimu zanzibar kwa uzembe!
 
41'
[TABLE="class: league-table"]
[TR="class: even"]
[TD="class: fh"]Zanzibar [/TD]
[TD="class: fs"] 1 - 1 [/TD]
[TD="class: fa"] Kenya [/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Mkuu sio lazima kusoma kila post, zingine unazipotezea tu.

Mkuu Masuke we unajua kabisa ni mtu wangu sana na hakuna sehemu yoyote ambayo tumewahi kudefer,kwa hiyo penye ukweli kubali,omba msamaha yaishe basi hakuna haja ya kulumbana,vinginevyo potezea comment yako kwanza isi-apeer kwenye thread hii!
 
Uwanja siyo tatizo kabisa. Mpira unachezwa vizuri sana. Mwadini kafuta bao la wazi dak. 44.

Mkuu wangu Makoye Matale:Hebu jaribu ku-analyse kidogo hizi dakika 45 za kipindi cha kwanza,halafu nini kifanyike kipindi cha pili kwa wazenji kama kweli wanataka ushindi kwenye mchezo huu,najua ulikuwa na kazi ngumu ya kutoa update kwa hiyo usingeweza elza kila kitu!
 
Kipindi cha pili inabidi hawa wazenj wakomae ili watutoe kimasomaso, kuna yeyote anaweza kuweka kikosi kilichoanza za Zanzibar Heroes?
 
Back
Top Bottom