Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,295
- 108,318
Watu8,bealive in yourself kwanza,then second give our father God chance ya kusimamia hii kitu,hawa Wanyarwanda tunawatoa na tunatinga nusu fainali,kumbuka this is the game of chance rafiki yangu tukikata tamaa sisi itakuwaje kwa wachezaji ndani ya Pitch?!!
ngoja niwe na imani tu mkuu...halafu bahati mbaya leo nipo kibaruani na mkoloni kakaba nilipenda kweli kushuhudia huu mtanange