CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

Watu8,bealive in yourself kwanza,then second give our father God chance ya kusimamia hii kitu,hawa Wanyarwanda tunawatoa na tunatinga nusu fainali,kumbuka this is the game of chance rafiki yangu tukikata tamaa sisi itakuwaje kwa wachezaji ndani ya Pitch?!!

ngoja niwe na imani tu mkuu...halafu bahati mbaya leo nipo kibaruani na mkoloni kakaba nilipenda kweli kushuhudia huu mtanange
 
Huyo winga wao wa kulia ni mbaya sana ni lazima Maftah awe makini vinginevyo atatuletea madhara makubwa,ameshapita mara tatu tena mbaya!
 
ngoja niwe na imani tu mkuu...halafu bahati mbaya leo nipo kibaruani na mkoloni kakaba nilipenda kweli kushuhudia huu mtanange

We kaa humu humu ndani utapata kila kitu mkuu wale usitie shaka mie leo nimetoka mapema ndani ya mashimo yetu humo kwenye machimbo Nyarugusu nimeamua kuingia Centre kwa ajili ya kuungalia,nitakujulisha kila kitu najua kuna wengine pia.
 
Huyo winga wao wa kulia ni mbaya sana ni lazima Maftah awe makini vinginevyo atatuletea madhara makubwa,ameshapita mara tatu tena mbaya!

Kulia nadhani huwa anachezeshwa Niyonzima jezi namba 8...au leo wamepanga tofauti
 
We kaa humu humu ndani utapata kila kitu mkuu wale usitie shaka mie leo nimetoka mapema ndani ya mashimo yetu humo kwenye machimbo Nyarugusu nimeamua kuingia Centre kwa ajili ya kuungalia,nitakujulisha kila kitu najua kuna wengine pia.

Poa poa pamoja...
 
Mkuu Makoye Matale leo naona umeanza mapema kabisa safi sana Mwanawane,mzima lakini???

Mambo safi kabisa, kulikuwa na kawingu kalikuwa kanatishia uwepo wa matangazo haya hapa nilipo, bahati nzuri kamesambaa.

Dakika 25 bado 0-0.
 
Kulia nadhani huwa anachezeshwa Niyonzima jezi namba 8...au leo wamepanga tofauti

Hapana leo Niyonzima anatokea kushoto lakini anakuwa nyuma ya mtu mwingine,lakini hata hivyo hajaleta madhara kwa sababu huku kulia kuna janaume moja linaitwa Kapombe!!!!
 
Mambo safi kabisa, kulikuwa na kawingu kalikuwa kanatishia uwepo wa matangazo haya hapa nilipo, bahati nzuri kamesambaa.

Dakika 25 bado 0-0.

Sawa mkuu tuko pamoja upepo wa matangazo unamaanisha unasikilizia kwenye redio au?!
 
Ni kweli lakini ule upande wa Maftah hapako salama sana kwa sababu kuna winga hatari kule anamabka mawili meupe pembezoni mwa macho yake!!!!

kweli kbs Mkuu, jamaa anatembea sana upande wa Maftaha
 
Back
Top Bottom