idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,298
- 38,438
mi sijui nina matatizo gani!!natamani kama Tanganyika ndo ingekuwa tunakamua wapinzani namna hii!!!!
usijali mkuu tutakamua kwa wasomali.!
mi sijui nina matatizo gani!!natamani kama Tanganyika ndo ingekuwa tunakamua wapinzani namna hii!!!!
mkuu unasimama upande upi!!Tanganyika au hao wanao ongoza kwa 2
mkuu nakubaliana na wewe ila ina uma sisi kuwa wanyolewaji siku zote!!sijui sisi tuta anza kuwa nyoa lini!!!Mkuu mbona unamuuliza hivo, haijalishi ukiona upande wako unachechemea si vibaya kusapoti jirani yetu ati!
Uamsho
Uamsho
ha ha ha ha ha!!!mkuu tutamalizia kukunyoa na hizo nywele zilizobaki!!!!Uamsho
mkuu nakubaliana na wewe ila ina uma sisi kuwa wanyolewaji siku zote!!sijui sisi tuta anza kuwa nyoa lini!!!
kina hamiii wanauwa huku tanganyika tunakunya tu sababu ya uchoyo..
mkuu nakubaliana na wewe ila ina uma sisi kuwa wanyolewaji siku zote!!sijui sisi tuta anza kuwa nyoa lini!!!
mkuu matokeo yanasimamaje sasa hivi na ni dk ya ngapi!!!!Hadi zanzibar wanatushinda, hii ni aibu ndio maana jamaa wanakomaa kuomba uanachama fifa.!
naomba dua yako uwe ya kweli!vinginevyo huyu poulsine tutaanza naye!Mkuu somalia kwa kuwa wametoka teyari nadhani tutaibuka na mkasi mkononi na furushi la nywele zao naamini hivo.
Zanzibar 2 rwanda 1 dk 79 hii sio dalili nzuri pasi ya niyonzima, Dani anaingia wavuni