Ina maana Uganda hawakujiandaa hadi kuchezea kwenye tope hivi kama ng'ombe.?
Ni kama unachosema ni kweli, hii inathibitisha kwanini ukanda wetu wa afrika mashariki kiwango kipo chini maana hatuzingatii wala hatuweki maanani viwango vinavyopaswa katika mpira wa miguu, iwe ni Pitch, sheria 17 nk.