CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

Majuzi Yondani alikuwa kucheza ndondo Kimara, uwanja umeinama halafu una kisiki cha mwembe katikati. Na alicheza vizuri tu, itakuwa hapo Namboole?

Ha ha ha aaah!! Hivi kumbe viwanja vya mtaani ni vibovu kuliko hicho cha Namboole?/
 
Hivi ni kwamba hawa majirani zetu Uganda hawana viwanja vingine hata vile vya mchanga? Hali ya uwanja ninaouona kny luninga yangu haufai hata kidogo. Wanatuaibisha bana, aaah! Nimeona mmalawi akikosa goli akiwa peke yake na goli, mpira ulikwama kny maji.
 
Hali ya uwanja hovyo kabisa, kwa nini mechi zisihamishiwe Kaitaba pale Bukoba?
 
Mpira umenasa langoni mwa Malawi na kuikosesha Eritrea goli, shame to Uganda and CECAFA.
 
Naona majirani Zanzibar wameshajipatia bao dhidi ya Rwanda, wakisaidiwa na tope.
 
Hamis Mcha alituweka mbele hapa...
Sie kina ami!
 
Zanzibar tumeweza kulitumia vizuri tope, hatuogopi kuchafuka...
 
Uganda wanatuabisha afrika mashariki kiwanja kimejaa maji na tope kiasi kile na super sport wamepinda mgongo kuonesha hali halisi!!

Yaan lazima uwe na bahati ya tope na maji kukusimamishia mpira mazingira ya hatari na kubahatisha kufunga au kuunasa mpira usiingie nyavuni kwako.
 
haya mashindano yakiisha huo uwanja ugeuzwe jaluba watu walime mapunga!
 
huu sio uwanja,ni vigumu kupima viwango vya wachezaji na hili tope.!
 
dk 53 zanziba 1 Rwanda 0, uwanja umetibua radha ya mpira nikama upuuzi flani hivi.
 
dk 53 zanziba 1 Rwanda 0, uwanja umetibua radha ya mpira nikama upuuzi flani hivi.
Ina maana Uganda hawakujiandaa hadi kuchezea kwenye tope hivi kama ng'ombe.?
 
Back
Top Bottom