figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 26,681
- 59,180
leo ndo mtaamin maneno yangu ya kwamba msuva ni mshambuliaji asie na hatari. msuva akishika mpira utasema hili ni goli lakini mpira wa mwisho utatoka nje au utapaa juu sana ya goli. magoli yake siyajui wala sijawahi ona goli lake. ana makeke akishika mpira lakini hana malengo. mimi hua simkubali. mia