CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

hakuna alternative ya kubadili uwanja?

Wakati mwingine hata kuahirisha mchezo ikibidi.
Lakini hali ya hapa Namboole haijawa mbaya kiasi cha mpira kutochezeka, nadhani ni matope tu ambayo hayana madhara makubwa kiufundi.
 
Kwa ubovu huu wa Uwanja ni bora Kim Poulsen angepanga wachezaji wengi wa Jangwani maana leo Nambole ni kama Kaunda, wale wa Msimbazi washazoea kusingizia kiwanja kilikua kibovu...
 
simkuelewi. nafikiri ulitaka kumquote mphamvu. mia

Sijam-quote Mphamvu bali nimem-cite na nimea-acknowledge chanzo, so no plagiarization of post! Nilimaanisha Usimba unakusumbua. Kaseja kaokoa uzuri. Dakika ya 37 bado 0-0.
 
Sijam-quote Mphamvu bali nimem-cite na nimea-acknowledge chanzo, so no plagiarization of post! Nilimaanisha Usimba unakusumbua. Kaseja kaokoa uzuri. Dakika ya 37 bado 0-0.

Thanky kwa kuni-acredit...
 
Sijam-quote Mphamvu bali nimem-cite na nimea-acknowledge chanzo, so no plagiarization of post! Nilimaanisha Usimba unakusumbua. Kaseja kaokoa uzuri. Dakika ya 37 bado 0-0.

simon msuva ametoka na kuingia Kiemba dakika ya 38. mia.
 
Burundi wametawala sana mchezo hizi dakika zinazoelekea 40 sio siri wametukamata sana!hata kona tumeshindwa.
 
Inaonekana hivyo kwa sababu Kampala kuna viwanja vizuri tu huu unaochezewa na mwingine unaitwa Nakivubo,na huu inavyoonekana ndio unaochezewa mechi zote.

Kwa Uganda, Nakivubo ni kama Uhuru na Mandela ni kamaTaifa kwa hapa Bongo mtawalia. Hakuna jipya zaidi ya viwanja hivi.
 
Amri Kiemba anapiga shuti hapa na Bukoba mjini...
 
Back
Top Bottom